Ofa Ya Punguzo La Bei Inatoweka
Baada Ya Saa Kusoma Sifuri
Malipo yote yanafanyika kupitia Selcom, kampuni iliyosajiliwa kiserikali inayotumiwa na maelfu ya wafanyabiashara Tanzania kukusanya malipo kwa usalama.
Baada ya kufanya malipo, utapata access ya course yako mara moja kupitia mfumo wetu wa kujifunzia mtandaoni.
Biashara yangu ya "Sell Digital" imesajiliwa rasmi na inalipa kodi, na hapa chini nimeambatanisha cheti cha usajili na leseni ya biashara kwa uthibitisho wako.


Kufanya malipo ni rahisi tu.
Bonyeza hapo chini sehemu iliyoandikwa "LIPIA 15,000 "
Baada ya kubonyeza sehemu hiyo, utafunguka ukurasa mpya ambao utaonekana kama kwenye picha hii hapa chini.

Kama unavyoona kwenye picha unaweza kulipa kwa mitandao yote ya simu: M-Pesa, Mixx by Yas, Airtel Money, Halopesa.
Tafadhali hakikisha una salio la kutosha kwenye simu yako kabla ya kulipia.
Salio lako liwe ni zaidi ya 15,000/=
Hii ni kwa ajili ya makato ya kawaida ya serikali na mtandao wa malipo.
Jaza majina yako kamili, barua yako pepe (email), na namba yako ya simu, kisha bonyeza Pay Now.
Baada ya hapo, ujumbe wa malipo (popup) utaonekana juu ya screen ya simu yako ukikuomba uweke namba yako ya siri (PIN) ili kuthibitisha malipo kutoka kwenye akaunti yako kwenda Selcom.
PIN yako hutumika moja kwa moja kuthibitisha malipo na haitunzwi wala kuonekana na mtu yeyote.
Baada ya hapo utakuwa umekamilisha malipo.