Jiunge Kwenye Program Ya CAE

Kwa 13,500/=

Kufanya malipo ni rahisi tu.

hatua ya kwanza: Bonyeza hapo chini sehemu iliyoandikwa "LIPIA SASA" kisha jaza taarifa zako kikamilifu halafu bonyeza sehemu iliyoandikwa "Pay" na usubiri ukurasa mpya wa kufanya malipo ufunguke.

Hatua ya pili: Chagua mtandao wa simu ambao utautumia kufanya malipo kati ya hii: Mixx by Yas (Tigo), Airtel Money au Halopesa

Hatua ya tatu: Weka namba yako ya simu ya mtandao husika ambao umechagua kwenye hatua ya pili.

Hatua ya nne: Bonyeza kulipa na utapokea push meseji kwa juu ya screen ya simu yako, weka namba yako ya siri kuruhusu pesa ikatwe.

Note 01: Hakikisha kwenye simu yako una kiasi cha 13,500/= jumlisha pesa ya makato ya mtandao husika na serikali.

Note 02: Kwa sasa kuna shida kwenye mfumo wa malipo kwa kutumia M-Pesa. Kwa hiyo kama hela yako ipo kwenye M-Pesa fanya hivi: Tuma 13,500/= kwenye namba hii 0768354507 jina litatoka ADELARD NTAMABOKO. Baada ya kufanya malipo tuma uthibitisho wa muamala whatsapp kwa namba hiyo hiyo baada ya hapo nitakutumia link ya kuanza mafunzo.

>
error: Copying is not allowed on this website
Powered by ProofFactor - Social Proof Notifications