Jinsi Ambavyo Kupitia Matangazo Ya Kulipia Facebook & Instagram Hata Mfanyabiashara Mpya Anaweza Kutumia  “Targeting Hack” Kuifulika Biashara Yake Kwa Utitiri Wa Wateja Ndani Ya Masaa 72 Bila Hofu Yoyote Tena Ya Kupoteza Hela Nyingi Pasipo Faida Yoyote!

Jifunze Kutumia “Targeting Hack” Kugeuza Facebook Na Instagram Kuwa Migodi Ya wateja wako Siku Zote 365 Za Mwaka Mzima!

Bokko's image

Kutoka kwa: Mr Bokko (Adelard Ntamaboko)

Social media Marketing & Advertising Expert.

Dar Es Salaam.


Mpendwa Mfanyabiashara,


Kama unapenda kujua namna ya kutumia “Targeting Hack” kwenye matangazo ya kulipia Facebook na Instagram...


Kupata wateja wengi sana na Faida kubwa ndani ya muda mfupi (Masaa 72 au chini ya hapo)...


Na kwa kutumia bajeti ndogo sana.


Haijalishi aina ya biashara unayoifanya ni ipi...


Basi ujumbe huu utakuwa wa kufurahisha ambao hujapata kuusoma kwenye maisha yako.


Na hii hapa ndio sababu:


Nimepoteza hela nyingi sana na kupata hasara kubwa kwasababu ya kufanya matangazo ya kulipia Facebook na Instagram.


Lakini licha ya hasara na upotevu wa pesa nyingi, nimeweza kutengeneza hela nyingi pia kupitia matangazo ya kulipia Facebook na Instagram.


Kwa kila anguko kuna funzo.


Sasa ningependa tuanze upande wa anguko langu ili ujue ni makosa gani niliyafanya ambayo yalinipelekea kupoteza hela nyingi. Kwa kuyajua makosa hayo itakuwa rahisi kuyaepuka na kukufanya usipoteze hela, muda na nguvu nyingi kwa vitu ambavyo havitakupatia wateja wengi na Faida kubwa.


Halafu baada ya hapo nitakuonesha ni kwa namna gani natumia “Targeting Hack” kwenye matangazo ya kulipia Facebook na Instagram kupata zaidi ya wateja wapya 50 na kutengeneza faida ya zaidi ya 3,000,000/= kila mwezi kwa bajeti ndogo.

Je, Unafanya Makosa Haya Unapotafuta Wateja Wa Kununua Bidhaa Au Huduma Yako?



Naitwa Mr Bokko. Ni mjasiriamali wa mtandaoni kama wewe.


Mitandao ya kijamii imeteka soko. Kila mtu anaongelea kuhusu matangazo ya kulipia kitu ambacho ni kizuri lakini ubaya wake ni kwamba usipojua namna sahihi ya kufanya hayo matangazo utaishia kupoteza hela zako tu BURE. Mimi ni mfano halisi wa watu ambao wamepoteza hela kwenye matangazo bila faida yoyote.


Tazama, tarehe 19 mwezi wa pili mwaka 2019 nilianza rasmi biashara ya kuuza virutubisho lishe.


Nilikuwa sijui chochote kuhusu kupata wateja au kuuza.


Kwahiyo nilichokifanya nilitafuta watu walionitangulia kwenye biashara ili wanifundishe mbinu za kupata wateja.


Kwa bahati nzuri nikapata jamaa mmoja ambae alikuwa angalau anajua kufanya matangazo ya kulipia Facebook na Instagram.


Kama upo makini utakuwa umegundua neno angalau kwenye sentensi ya juu.


Maana yake hata jamaa huyu hakuwa vizuri kivile lakini alikuwa anajua zaidi yangu ambae nilikuwa mweupe tu kichwan kwa suala la kupata wateja.


Basi jamaa akanielekeza nifanyeje kupata wateja kwa kufanya matangazo ya kulipia Facebook na Instagram.


Baada ya mafunzo nikajiona nimeiva. Nikawa nipo tayari kuanza kupata wateja wakutosha na Faida kubwa.


Nikaandaa Tangazo langu kuhusu tatizo la Fangasi za aina zote.


Nikalilipia Tangazo hilo Facebook na kusubiri kupata utitiri wa wateja.


Ndani ya siku 3 tu group langu la whatsapp lilikuwa limejaa watu ambao walikuwa tayari niwauzie bidhaa yangu.


Nikasema mambo si ndo haya. Yani siku 3 tu watu 250 tayari wamejazana kwenye group langu kusubiri niwauzie tena nimewapata kwa 45,000/= kama pesa niliyolipa ili Facebook na Instagram waniletee watu hao kwenye group langu la whatsapp.


Nilikuwa na furaha kubwa mno.


Kilichofuata nikaanza kuwaelimisha kwanza watu hawa kuhusu tatizo la fangasi halafu baada ya siku 3 kulingana na nilivyofundishwa na jamaa ilibidi nitoe OFA ya ambao wapo tayari kujua bidhaa yangu walipie 2000 kisha niwahamishie kwenye group lingine ambapo nitaanza kuelezea bidhaa yangu.


Hapa ndipo furaha yangu niliyokuwa nayo ilipoanza kupotea.


Nilipotoa OFA hiyo ni watu 3 tu ambao walilipia hiyo 2000 kwa ajili ya kupata maelezo zaidi kuhusu bidhaa yangu.


Unaweza kuona inavyoumiza, yani group lina watu 250 halafu watu 3 tu ndio wakawa tayari kutoa hiyo 2000.


Tuachane na hayo. Baada ya hao 3 kulipia nikawaweka kwenye group lao lingine ili nianze kutoa OFA ya kuwauzia bidhaa yangu.


Baada ya kutoa OFA nikaona wapo kimya. Kilichoniumiza zaidi mmoja wao akaleft group. Kwahiyo wakabakia 2.


Sasa mmoja kati ya hawa 2 akaenda kwenye lile group lenye watu wengi akatuma ujumbe akisema...

“Oya wadau tumeshapigwa 2000 yetu huku. Huyu jamaa hamna kitu yani anatuuzia mabidhaa yenye gharama kubwa mno. Ningejua nisingetoa hata 2000 yangu”

Acha wanagroup waanze kuniandama kwa matusi ya kila aina.


Uvumilivu ukanishinda nikaleft magroup yote 2 nikawaacha wazozane wao wenyewe sijui ni nini kilitokea huko baada ya mimi kuleft.


Usicheke. Kuna vitu 2 nataka nikufundishe hapa kutokana na hii stori yangu.


Unahisi kwanini sikuuza licha ya group kujaa?


Sikuuza kwasababu...


  1. Sikujua namna sahihi ya kutoa OFA kwa mteja. Jinsi nilivyofundishwa na huyu jamaa ilikuwa ni hovyo kabisa lakini siwezi nikamlaumu kwasababu alinifundisha alichokijua kwa wakati ule.
  2. Kwenye Tangazo nililolipia Facebook na Instagram nilikosea kuwalenga watu sahihi ambao wangenunua bidhaa zangu badala yake nilifurahia kujaza group kwa mijitu ambayo hata ningefanya nini isingenunua.


Kwahiyo kujaza group sio kitu cha kujisifia. Kwasababu ni rahisi sana kujaza group. Swali ni kwamba uliowajaza kwenye group ni watu sahihi ambao ukiwauzia bidhaa au huduma yako watakuwa na mwitikio mzuri?


Si hivyo tu...


OFA unayoitoa ina sifa kweli za kuwa OFA sahihi ya kuwafanya wateja wanunue bidhaa yako?


Mambo hayo 2 yaweke kichwani kwasababu ni muhimu sana kama unataka kupata wateja wengi kama utitiri kupitia matangazo ya kulipia Facebook au Instagram.


Baada ya kuleft group kilichofuata ni nini?

Nikaanza tabia ya kupost kwenye magroup ya watu, matangazo ya watu na post za watu!

Nikawa kila nikiingia Facebook au Instagram nikiona tangazo la mtu na mimi kwenye comment natangaza bidhaa zangu.


Nikawa naenda kwenye page za watu maarufu kama Millard Ayo halafu napost tangazo langu kwenye post zao.


Nikajiunga magroup ya watu mbalimbali ya whatsapp na Facebook nikaanza kutangaza bidhaa zangu. Baada ya kutangaza naleft group.


Nilifanya hivyo kwa muda kama wa mwezi mmoja na wiki kadhaa bila kuona matokeo yoyote nikaamua kuacha.


Kuna lolote la kujifunza kwenye sehemu hii? Ndio, tena funzo kubwa. Funzo lenyewe hili hapa...


Hakuna mtu anataka au anapenda kufanya biashara na mtu ambae anaonekana hajui anachokifanya.


Unapopost matangazo yako kwenye magroup ya watu au kwenye matangazo ya watu au kwenye post za watu maarufu ukitegemea utapata wateja...


Usichokijua ni kwamba unajidharaulisha.


Unawafanya watu wakuone mtu mbabaishaji na ambae hujui unachokifanya.


Kwahiyo hakuna mtu atapenda awe mteja wako hata kama bidhaa yako ni nzuri.


Hata kama utatafutwa na watu kadhaa, watakaokutafuta ni mifupa iliyomshinda fisi. Watakuchosha tu bure hawatanunua hata siku moja. Wataishia kuulizia bei.


Kwahiyo baada ya kuacha tabia hii ya kupost post ovyo kwenye matangazo na post za watu...

Nikaanza kuangalia video za Youtube mara kwa mara kujifunza mbinu tofauti tofauti za kupata wateja.

Kila mbinu mpya niliyojifunza nilijaribu kuona kama ingekuwa na manufaa kwangu.


Nilijifunza mengi kuhusu matangazo ya kulipia Facebook na Instagram lakini taarifa mbaya ni kwamba niliishia kupoteza hela nyingi kuwalipa Facebook na Instagram bila kupata matokeo mazuri.


Ndani ya mwaka mmoja niliishia kupata wateja 5 tu.


Funzo ambalo unatakiwa ulipate hapa ni kwamba...


Usifanye matangazo ya kulipia Facebook au Instagram kama hujui unachokifanya ni nini maana kwa vyovyote vile utaishia kupoteza hela zako ambazo bora hata ungetoka zako mtoko ukapunguza msongo wa mawazo.


Usije ukawa kama wengi wanachokifanya kubandika Tangazo na kuanza kufanya maombi na kutumaini kupata wateja wengi.


Huo ni wehu na uchizi. Kama hujui unachokifanya kuhusu matangazo ya kulipia acha kabisa utapoteza hela nyingi.


Nini kilichotokea baada ya kupoteza hela nyingi kwenye matangazo ya kulipia?


Siku zote huwa kuna njia sahihi na pekee ya kufanya jambo fulani kwahiyo, sikukata tamaa nikaendelea kujaribu kila nilichokiweza lakini mwisho wa siku nikaona pengine biashara hii sio kwa ajili yangu. Nikawaza kuachana nayo ili nifanye mambo mengine.


Lakini kabla sijaamua kuacha biashara rasmi nikapata wazo la kufanya utafiti kwanza.


Utafiti wa kujua kama kuna njia nyingine ya uhakika wa kupata wateja kwa kutumia matangazo ya kulipia Facebook na Instagram.


Siku moja katika tafiti zangu nasoma makala hii inayomzungumzia jamaa mmoja wa marekani anayepata wateja wapya kila mwezi zaidi ya 500 kupitia Matangazo ya kulipia Facebook na Instagram.


Najiuliza...


“Hii inawezekanaje?”


Yani mimi hapa napambana kwa nguvu zote. Nafanya kila ninachofundishwa. Naishia kupata wateja 5 tu ndani ya mwaka mzima halafu hapa kuna mtu ndani ya kila siku 30 anapata wateja wapya zaidi ya 500.


Haikuniingia akilini kabisa.


Ikabidi niendelee kufanya udadisi wa kujua jamaa huyo anatumia mbinu gani kupata wateja wapya zaidi ya 500 kila mwezi.


Nilifanya udadisi mpaka nikajua kila kitu alichokuwa akikifanya.


Jamaa huyu alijua mbinu sahihi na ya kipekee ya kutumia matangazo ya kulipia Facebook na Instagram kupata mafuliko ya utitiri wa wateja.


Nikajifunza kila kitu kuhusu mbinu hii na baada ya hapo mbinu hii imebadili maisha yangu na biashara yangu mazima.

Haya hapa Matokeo Niliyoyapata Baada Ya Kujifunza Mbinu Hii Kutoka Kwa Huyu Jamaa Wa Marekani.

Nilivyomaliza mafunzo nilikuwa kwenye kipindi cha kuelekea kuwa na maisha ya ndege yaani kukosa sehemu ya kuishi kwa kushindwa kulipa kodi.


Zilikuwa zimebaki siku 9 tu mwenye nyumba aje adai chake. Na mwenye nyumba alikuwa hataki masihara kabisa kwenye suala la kulipa kodi. Usipolipa kodi kwa wakati anakutimua. Kwahiyo nilikuwa na mambo 2 ya kufanya. Nipate hela ya kodi ndani ya siku hizo 9 au nisubiri kutimuliwa nianze maisha ya ndege.


Kipindi hicho nilikuwa nakaa nyumba ambayo kodi nilikuwa nalipa 120,000/= kwa mwezi. Kwa mahesabu ya haraka ndani ya siku 9 nilikuwa nahitajika niwe na 720,000/= (Kodi ya miezi 6)


Mfukoni nilikua na 100,000/= tu. Kwa mbinu ya kupata wateja ambayo nilikuwa nimejifunza tayari, hiyo laki moja nikaamua niitumie kama bajeti ya tangazo nililoliandaa.


Nikaandaa kila kitu kilichohitajika kunipatia wateja wengi. Baada ya hapo nikabandika tangazo lionekane facebook na Instagram kwa bajeti ya dola 3 kila siku.


Kuifupisha stori baada ya siku 9 kufika nilikuwa nimeshaingiza faida ya 1,200,000/= Nikalipa kodi na bado nikabaki na pesa za matumizi.


Kumbuka bajeti ya tangazo ilikuwa ni dola 3 kila siku, kwa muda wa siku 9 ilikuwa jumla dola 27 (Sawa na 66,000/=). Kwahiyo nilitumia 66,000/= kuzalisha faida ya 1,200,000/= ndani ya siku 9 tu.


Hapo ndipo nilipojua nimepata fomula ya kufanya matangazo ya kulipia Facebook na Instagram yanayoleta mafuliko ya wateja kwa bajeti ndogo na ndani ya muda mfupi.


Baada ya hapo kuuza kwangu kumekuwa kama kunywa maji. Nikiamua kuuza kweli natengeneza mpaka faida ya 5,000,000/= ndani ya mwezi mmoja.


Hesabu zangu zinanionesha kwa sasa faida ya mauzo yangu kwa mwezi si chini ya 3,000,000/=


Si hivyo tu...


Mwezi wa 8 mwaka 2022 niliweka lengo la miezi 4 (wa 8, 9,10 na 11). Lengo lilikuwa ni kwamba kwa kila faida ya mauzo nitakayoipata 2,500,000 inabidi niiweke kwenye account yangu ya Bank na nyingine iliyobaki ndio nifanyie mambo yangu mengine.


Je lengo hilo lilitimia?


Tazama kwenye picha hizi 2 hapa chini.

Bokko Bank-A
Bokko Bank-B

Unaweza ukaona mwenyewe kwamba lengo lilitimia. Lakini kumbuka mimi ndo yule ambae ndani ya mwaka mzima nilipata wateja 5 tu kabla sijajifunza mbinu hii ninayoitumia kwa sasa.


Kwahiyo haijalishi biashara yako ipo kwenye hali gani kama utaniruhusu nikufundishe mbinu hii nakuhakikishia utafulikwa kwa utitiri wa wateja kwa bajeti ndogo na ndani ya muda mfupi.


Tazama, nimekuwa nikitumia mbinu hii kwa zaidi ya mwaka na miezi kadhaa. Kwahiyo nina uhakika kabisa 100% ukiijua mbinu hii lazima watu waliokuwa wanakuchukulia poa wakukome maana utaanza kuuza si kawaida.


Lakini ningependa nikwambie kitu kimoja ambacho kinaweza kikakuvunja moyo usitake nikufundishe mbinu hii.


Kitu hicho ni hiki...


Nimekuwa nikiitumia mbinu hii siku zote na imekuwa ikinipatia matokeo makubwa sana kwa kila tangazo ambalo narusha Facebook au Instagram.


Lakini ilivyofika...


Mwezi wa pili mwaka huu (2023) mambo yakaanza kuwa tofauti.


Nilikuwa na matangazo 5 tofauti ambayo yalikuwa yapo “active”.


Bajeti ya kila tangazo moja kwa siku ilikuwa ni dola 10 (sawa na 24,500/=) Kwahiyo kwa matangazo yote 5 jumla ya bajeti kwa siku moja ilikuwa ni dola 50 (sawa na 122,500/=)


Kabla ya mwezi wa pili kufika, matangazo hayo yalikuwa yananiletea wateja wengi sana kama utitiri.


Ilikuwa haipiti siku sijatengeneza faida si chini ya 250,000/=


Lakini ilipofika mwezi wa pili tu matangazo hayo yakaanza kuwa hasara.


Siku ya kwanza ikapita sijatengeneza faida yoyote nikaishia kupata hasara ya  dola 50 ambayo ndio bajeti ya matangazo yote 5 kwa siku moja.


Nikaamua nizime matangazo 4 libaki moja tu nione itakuaje.


Siku ya pili ikapita kimyaaaa hakuna mteja hata mmoja nikaishia kupoteza dola 10 ambayo ilikuwa ni bajeti ya tangazo hilo moja.


Kumbuka hapo nishakula hasara jumla ya dola 60. Siku ya kwanza kwa matangazo 5 hasara ya dola 50 na siku ya pili kwa tangazo moja dola 10 kwahiyo jumla dola 60. (Sawa na 145,200/=)


Uvumilivu ukanishinda nikaamua na hilo tangazo moja nilizime kwanza.


Nikaanza kupata msongo wa mawazo nini nifanye maana hela zote ninazozitengeneza ni kupitia matangazo ya kulipia kwa mpenzi Facebook na Instagram.


Sasa matangazo hayaleti faida tena nifanyeje?


Zikapita siku kadhaa nawaza na kuwazua nifanyeje.


Nikaamua kuandika matangazo 2 mapya. Nikawa na uhakika kabisa lazima nitaanza kufulikwa na wateja kwa mara nyingine tena.


Matangazo hayo 2 nikaweka kila moja dola 5 kwa siku.


Siku ya kwanza ikapita kimyaaaaaaaaaa. “No” mteja. Hasara ya dola 10 nyingine hiyo kwa hayo matangazo 2.


Nikasema ngoja nisikilizie siku ya pili nione itakuaje.


Siku ya pili ilipofika nikayazima hayo matangazo 2 maana yaliongezea hasara ya dola 10 nyingine.


Kwahiyo mpaka muda huo nikawa na hasara jumla dola 80 (sawa na 193,600/=)


Kuna mtu hapa unasema unakubalije kupoteza hela yote hiyo kizembe.


Jibu ni rahisi...


Hata kama wewe ni mzoefu wa matangazo kiasi gani, kuna siku tu itafika matangazo yataacha kukuletea faida.


Sasa siku hiyo ikifika endapo hujui ni nini ufanye lazima utaishia kupoteza hela kama kilichonitokea.


Kwahiyo nilipata hasara kwasababu sikujua chakufanya pindi tatizo hilo la matangazo kuacha kuleta matokeo linapotokea.


Nilijaribu kila nilichokiweza mpaka ilipofika hasara ya dola 91 (Sawa na 220,220/=) nikaamua nisifanye tangazo lolote mpaka nitakapopata suluhisho la changamoto hiyo.


Siku moja Katika pitapita zangu Facebook nikaona Tangazo kutoka kwa jamaa mmoja wa Nigeria anayeishi Marekani.


Tangazo hilo lilikuwa linasema kwamba jamaa anauza “Course” ambayo inatoboa siri ya mbinu ambayo inatumiwa na manguli kama...

Dan Lok's Pic

Dan Lok

Frank Kern's Pic

Frank Kern

Tai Lopez's Pic

Tai Lopez

Billy Gene photo

Billy Gene

Mbinu aliyokuwa anafundisha ni kutumia “Targeting Hack” kugundua makundi ya watu Facebook na Instagram ambayo hakuna mfanyabiashara mwingine anayajua bila kutumia hii “Targeting Hack”. Kwahiyo ukiyajua makundi hayo maana yake wewe pekee ndio utaweza kuwalenga na kuwaonesha matangazo yako na hivyo kufanya ujiondoe kwenye ushindani na kutengeneza faida kubwa kwa bajeti ndogo na ndani ya muda mfupi.


Course hiyo inauzwa kwa dola 297 (Sawa na 718,740/=) lakini muda huo nilipoona Tangazo hilo alikuwa katoa punguzo la bei mpaka dola 47 (Sawa na 113,740/=)


Bila kuchelewesha nikanunua “Course” hiyo kwa hiyo 113,740/=


Kabla sijatulia vizuri akanipatia OFA nyingine ya masaa 72.


Akaniambia ana “Course” Ambayo inafundisha kila kitu kuhusu Kutangaza biashara yoyote Facebook au Instagram ambayo anaiuza kwa dola 997 ( Sawa na 2,422,710/=). Lakini ndani ya masaa 72 ananipunguzia mpaka dola 299.9 (Sawa na 730,200/=)


Weeee nikasita kununua. Sio kwamba sikuwa na hiyo hela. Kumbuka mpaka mimi kununua hiyo "Course" ya kwanza ni baada ya matangazo yangu ambayo yamekuwa yakiniingizia faida kuanza kuleta hasara. Kwahiyo nilichokihitaji kwa wakati huo ni njia ipi niitumie kufanya matangazo yangu yaanze kuniingizia faida tena kama mwanzo. Kwakua "Course" ya kwanza ilikuwa inahusu njia hiyo basi nikaona ni vyema kwanza nitatue tatizo langu kuliko kuwaza "Course" ya pili inayofundisha jinsi ya kutangaza aina yoyote ile ya biashara mtandaoni.


Nikajipa siku 3 nikasema ngoja nijaribu kwanza nitakachojifunza kwenye “Course” ya kwanza ikiwa matangazo yangu yataanza kuniletea matokeo tena kama mwanzo basi faida nitakayoipata ndio nitaongezea ninunue “Course” hiyo ya pili ili niongeze maarifa zaidi kuhusu kupata wateja mtandaoni.


Nikatumia “Targeting Hack” kugundua makundi mapya ya watu Facebook na Instagram ambayo watu wachache tu wanaofahamu mbinu hii ndio wanayajua.


Nikachukua matangazo 2 kati ya yale matangazo 5 ambayo yalikuwa yameacha kuniletea matokeo.


Sikubadili hata nukta kwenye matangazo haya.


Nilikopi na kupesti kama yalivyo isipokuwa utofauti ulikuwa kwenye watu ambao watayaona matangazo hayo.


Kwakuwa nilikuwa tayari nimegundua makundi mapya niliweka dola 10 kama bajeti ya kila siku kwa kila Tangazo kwa hayo matangazo 2.


Ngoja tuone matokeo yake:


Siku ya kwanza tu nilitengeneza faida ya 510,000/= Hiyo ni faida baada ya kutoa bajeti (Dola 20 sawa na 50,000/=) iliyonisaidia kupata faida hiyo pamoja na bei ya bidhaa. Nimepiga mahesabu juu kwa juu sijataka tuanze kupoteza muda.


Au kwa maelezo rahisi ni kwamba siku ya kwanza nilitumia bajeti ya 50,000/= kwa matangazo yote 2 kuzalisha faida ya  510,000/=


Siku ya pili nikatengeneza Faida ya 246,000/=


Siku ya tatu nikatengeneza faida ya 826,000/=


Sitaki niendelee siku ya 4 ilikuwaje tuishie hapo siku ya tatu.


Kwahiyo kwa siku hizo tatu tu nilitengeneza jumla ya 1,582,000/= kama faida.


Tazama...course iliyonipatia mbinu ya kupata faida hiyo nilinunua kwa 113,740/=


Kwahiyo kwa lugha rahisi ni kwamba nilimpa jamaa 113,740/= halafu yeye akanipatia 1,582,000/= na zaidi kwasababu mbinu hiyo bado itaniingizia faida tena na tena sijui mwisho wake lini.


Tusisahau ile OFA ya masaa 72 ambayo nilipewa badala ya kulipa dola 997 nilipe dola 299.9


Kwakua nilikuwa tayari nimetatua changamoto yangu na kupata matokeo makubwa kutoka kwenye course ya kwanza nilikuwa na mzuka wa hali ya juu wa kutoa hiyo dola 299.9 maana nilijua kutoka kwenye course hiyo ntakuwa nimenunua tiketi ya kugundua siri nyingi za kupata wateja mtandaoni ambazo watu wengi hawazijui.


Bila kuchelewesha unaweza ukaona kwenye screenshot hapa chini tarehe 17 mwezi wa 2 mwaka huu wa 2023 nikaamua kununua course hiyo.

Course payment proof

Sikuishia hapo. Usiku wa Sikukuu ya Pasaka wakati wengine wanasherehekea kwa namna yao na mimi nikaamua nisherehekee kiana yake.


Kwa siku nyingi nimekuwa nikitamani kuwa mwanafunzi wa nguli mmoja ambae namkubali sanaaaaaa. Nguli huyu Ni wa Marekani. Anaitwa Frank Kern. Huyu jamaa ni hatari sana kwa Online marketing & Advertising.


Basi usiku huo wa pasaka nikaamua ninunue "Course" moja kutoka kwake inayohusu namna ya kuifulika biashara yako kwa utitiri wa wateja hata kama wewe ni mpya kwenye biashara.


Course hiyo ilikuwa inauzwa kwa punguzo la bei dola 397 (Sawa na 973,163/=)


Kama kawaida yangu nikiona punguzo la bei huwa sicheleweshi kufanya maamuzi. Unaweza ukaona kwenye screenshot hapa chini.

Frank Kern Course Payment Screenshot

Baada ya kununua course hizi nimegundua Watanzania wengi sanaaa hasa wafanyabiashara na wajasiriamali kuna vitu vingi sana hawavijui kuhusu kutumia matangazo ya kulipia Facebook na Instagram kupata wateja wengi kama utitiri.


Kusema ukweli sikuwa na mpango wowote wa kumfundisha mtu yeyote mbinu hizi, lakini kulingana na hali ya kusumbuliwa na watu wengi kutaka kujua mbinu ninazozitumia nikaona kumfundisha mtu mmoja mmoja nitajichosha BURE. 


Kwahiyo nikaona njia rahisi na pekee ya kuwasaidia wafanyabiashara na wajasiriamali wengi ni kuandaa darasa ambalo litafichua siri na mbinu hizi zinazotumiwa na manguli wakubwa na ambazo sio rahisi kuzipata kwasababu ya gharama yake.


Hivyo nimeamua kuandaa darasa jipya (Kwa lugha ya kiswahili) ambapo utajifunza hatua kwa hatua namna ambavyo mtu yeyote mwenye bidhaa au huduma anaweza akatumia matangazo ya kulipia Facebook na Instagram kufulikwa na wateja kama utitiri kwa bajeti ndogo na ndani ya muda mfupi.


 Darasa hili nimelipa jina la...

Facebook & Instagram MapeneTM

Fb & Insta Mapene Inline Course image black

Kabla sijaongelea kuhusu darasa hiki kiundani zaidi nina ombi moja kwako. Ombi lenyewe ni kwamba...


Tafadhali hakikisha unachokiuza iwe ni bidhaa au huduma ambayo inasaidia kweli wateja kutimiza mahitaji yao maana naogopa nisije nikakupa mbinu hizi adimu halafu ukazitumia kufulikwa na wateja wengi sana kumbe ukawa unawauzia bidhaa au huduma ya hovyo.


Lakini kama una uhakika wa ubora wa bidhaa au huduma yako...


Basi darasa hili ni hatua kwa hatua na fomula iliyokamilika ambayo ipo tayari kwa ajili yako na imekusubiri uifanyie utekelezaji kwenye biashara yako ili uanze kufulika akaunti yako ya Bank kwa Faida za kutosha kwa kufanya matangazo ya kulipia Facebook na Instagram kwa bajeti ndogo na yanayoleta matokeo ndani ya masaa 72 TU.


Kwa maneno mengine, haijalishi unachokiuza – iwe ni virutubisho lishe, mashuka, mapazia, simu, vifaa vya michezo, vyombo, huduma yoyote n.k fomula hii ya matangazo ya kulipia utakayojifunza kwenye darasa hili itaifanya biashara yako iombe msahama kwa kufulikwa na wateja wengi sana ambao pengine unaweza ukashindwa kuwamudu.

Darasa hili ni taarifa mpya, fursa ya kipekee tofauti na madarasa mengine ambayo ushawahi kuyaona au kuyasikia!

Kwasababu kwenye darasa hili nitakupatia mwongozo A-Z wa kufanya matangazo ya kulipia (Facebook na Instagram) yanayoleta faida kubwa ndani ya mda mfupi (Masaa 72 au chini ya hapo) na kwa bajeti ndogo.


Si hivyo tu...


Nitakusaidia uepuke na usifanye makosa ambayo yanawafanya wafanyabiashara wengi wapoteze pesa, muda na nguvu nyingi bila kupata wateja wengi.


Na zaidi ya yote nitakugeuza kuwa NINJA wa matangazo ya kulipia Facebook na Instagram.


Na hapo bado sijamaliza kuongelea kila kitu utakachokipata kutoka kwenye darasa hili.


Nitakufundisha “Targeting Hack” ambayo ni mbinu pekee inayotumiwa na marketing experts wakubwa Duniani Kama Dan Lok na wengine wengi kugundua makundi ya watu ambao ukiwalenga:


  1. Unajiondoa kwenye ushindani hivyo kutengeneza faida kubwa ndani ya muda mfupi.
  2. Kwasababu unakuwa umejiondoa kwenye ushindani, Unamiliki uwanja unapiga pesa za kutosha kwa bajeti ndogo.


Kuna mengi sana ambayo utajifunza kwenye darasa hili, sehemu hii haitoshi kuelezea kila kitu.

Lakini ngoja nikuelezee mambo machache tu kwenye mengi utakayojifunza kwenye darasa hili:

  • Namna ya kutumia “Targeting Hack” kugundua “Interests” za watu ambazo ukizilenga unapata Faida kubwa Kwa bajeti ndogo. [ Interests hizi ni ngumu kuzipata kama hujui hii hack. Ukiweza kuitumia hii hack utakuwa umegundua mgodi wa wateja ambao wamekusubiri wakupatie pesa uwauzie bidhaa au huduma yako.
  • Hatua 3 MUHIMU ambazo hata mtu ambae hajawahi kufanya matangazo anaweza akazifuata kurusha Tangazo Facebook au Instagram na akawa na uhakika 100% Tangazo hilo litaanza kumpatia matokeo chini ya masaa 72 na kwa bajeti ndogo.
  • Kosa 1 la kuepuka kama unataka kupata matokeo ya haraka na faida kubwa kwa kila Tangazo utakalolilipia Facebook au Instagram. [Kibaya ni kwamba 98% wanaofanya matangazo ya kulipia Facebook au instagram wanafanya kosa hili na ndio maana ni ngumu kupata matokeo mazuri]
  • Aina 3 za matangazo ambayo yanaleta matokeo ya haraka kwa bajeti ndogo [Moja ya kwanini hupati matokeo mazuri ni uandishi wa Tangazo BOVU lakini baada ya kuzijua aina hizi 3 utakuwa upo kwenye NEEMA ya kufulikwa na wateja]
  • Mfano wa matangazo 2 ambayo yashaniingizia Faida ya zaidi ya 15,000,000/=
  • Njia 1 ya uhakika wa kujitoa kwenye ushindani ili utumie bajeti ndogo kupata Faida kubwa. (Siku hizi watu wengi sana wanafanya matangazo ya kulipia mtandaoni usipojua kujitofautisha na wao lazima uishie kupoteza hela bila matokeo mazuri]
  • Fomula 4 za kuandika “Caption” za kwenye picha ya Tangazo ili mteja ambae yupo tayari kununua ndio asome Tangazo lako. [watangazaji wengi wanaweka captions ambazo zinafanya watu ambao hata sio wateja wasome Tangazo lako hivyo kujikuta unaishia kupata watu wakuulizia bei tu bila kununua]
  • Namna ya kutumia application ya Canva kutengeneza picha za mvuto kwa wateja. [Picha nzuri ya Tangazo inafanya watu wakuamini na hivyo kutaka kufanya biashara na wewe]
  • Sheria muhimu za kukuongoza kurusha Tangazo Facebook au Instagram. Ukizitii sheria hizi utashangazwa kwa Idadi ya wateja utakaowapata. [Kwa bahati mbaya karibia watu wote wanaotangaza mtandaoni hawazijui sheria hizi kama mwongozo wa kuwa na uhakika wa kupata matokeo mazuri]
  • Namna ya kutengeneza mifereji 4 ya wateja wa kudumu Facebook na Instagram [Ukifahamu jinsi ya kutengeneza mifereji hii haitakuja siku itokee uishiwe wateja]
  • Ads manager A-Z. Watu wengi hawajui kutumia vipengele vyote vya ads manager ndio maana ni ngumu kupata matokeo mazuri na ya haraka. [Kuna sehemu kadhaa kwenye ads manager ukijua kuzitumia vizuri hutapata shida tena kupata wateja]

Na mambo mengine mengi, mengi sana.


Hayo ni baadhi ya mambo machache tu ambayo utajifunza kutoka kwenye darasa hili.


Kiufupi darasa hili ni ticket ya kuitoa biashara yako kwenye mahangaiko na mateso ya kukosa wateja wa kutosha kuipeleka kwenye NEEMA ya kufulikwa kwa utitiri wa wateja ndani ya masaa 72 au chini ya hapo kwa bajeti ndogo tu.


Darasa hili lipo katika mfumo wa video (Za kiswahili) ambapo nakuonesha hatua kwa hatua ukiwa unaona mwenyewe jinsi ya kuifanya biashara yako ifulikwe kwa wateja wengi sana ndani ya muda mfupi kwa bajeti ndogo.


Kwanini nimefanya darasa liwe katika mfumo wa video? Kwasababu video ndio njia pekee rahisi ya kumfundisha mtu akiwa anaona kabisa anachotakiwa kufanya ukiachana na VITABU ambavyo hata huoni unachotakiwa kufanya na kuishia kusoma tu maandishi pasipo kujua jinsi ya kufanyia utekelezaji ambacho umekisoma.


Katika Darasa hili ninakuonesha kabisa kwamba hapa unafanya hivi na hapa inakuwa hivi ukiwa unaona kabisa jinsi ninavyofanya. Kwahiyo kwa kufanya hivyo itakuwa rahisi sana kwako kufanya utekelezaji wa haraka wa kile utakachojifunza na kufanya upate matokeo ya haraka.


Nina uhakika 100% utakachojifunza kutoka kwenye darasa hili lazima kikufanye ufulikwe kwa utitiri wa wateja wengi sana ndio maana bila hofu yoyote natoa guarantee (Dhamana) ya siku 30

Guarantee image

Guarantee hii ipo hivi...


Lipia darasa hili, nakupa muda wa kutosha wa kufanyia kazi nitakachokufundisha. Iwapo kwa sababu yoyote ile ndani ya siku 30 utakuwa hujafulikwa na wateja wa kutosha niambie kupitia namba ya simu ambayo itakuwepo kwenye receipt ya malipo utakayokuwa umefanya nami nitakurudishia hela zako zote 100% bila kinyongo chochote.


Kwanini natoa guarantee hii ya kukurudishia 100% ya hela zako zote?


Tazama...


Utakachojifunza kutoka kwenye darasa hili ni mbinu ambazo mwenyewe binafsi nazitumia kufulika biashara yangu kwa utitiri wa wateja.


Wafanyabiashara Zaidi ya 340 tayari wamejiunga kwenye program hii na wote nimewapata kwa kutumia mbinu ambazo nataka nikufundishe.


Hivyo nina imani 100% kwa kutumia mbinu utakazojifunza kutoka kwenye darasa hili haijalishi biashara unayoifanya lazima tu na wewe utaanza kufulikwa kwa utitiri wa wateja.


Isitoshe mimi kukwambia nitakurudishia pesa zako ni mwaliko kwako kulipia darasa hili ujifunze kila kitu nitakachokifundisha halafu baada ya hapo uombe kurudishiwa hela zako uwe umepata mbinu hizi kwa bure kabisa.


Lakini usije ukashawishika kufanya hivyo maana nina uhakika 100% utakavyojionea mwenyewe kwenye darasa hili namna ya kutumia “Targeting Hack” kugundua makundi ya watu mapya ambayo yatakupatia faida kubwa ndani ya muda mfupi na kwa bajeti ndogo...


Na utakavyojifunza kuepuka kosa 1 ambalo ndio chanzo cha wote wanaofanya matangazo ya kulipia Fb na Insa kupoteza hela nyingi bila faida yoyote...


Na utakapojifunza hatua 3 za kurusha tangazo Facebook na Instagram ambalo kwa 100% litakuletea wateja wengi kama utitiri...


Utagundua kwamba huhitaji tena kuomba nikurudishie pesa zako. Kusema ukweli...


Wewe mwenyewe utakuwa unasema kimya kimya moyoni inabidi niongeze bei ya darasa hili hata mara tano zaidi maana mbinu ulizojifunza kutoka kwenye darasa hili zinaifulika biashara yako kwa utitiri wa wateja.


Huamini kama inawezekana? Nijaribu.

Darasa Hili Linagharimu kiasi Gani?

Kabla sijakwambia bei ya kujiunga kwenye darasa hili ningependa wewe mwenyewe ujipangie bei.


Unajipangia bei kiasi gani kwa darasa ambalo ni ticketi ya kuitoa biashara yako kwenye kukosa wateja kuipeleka kwenye NEEMA ya kufulikwa kwa utitiri wa wateja wapya kila mwezi?


Unajipangia bei kiasi gani kwa darasa ambalo mafunzo na mbinu utakazojifunza zitaanza kukupatia matokeo ndani ya masaa 72 au chini ya hapo na kwa bajeti ndogo na mbinu hizo zitaendelea kukuingiza faida kubwa tena na tena kwa miaka mingi ijayo?


Unajipangia bei kiasi gani kwa darasa ambalo mbinu nitakazokufundisha nimeweza kuzipata kwa gharama isiyopungua 2,000,000/=?


Unajipangia bei kiasi gani kwa darasa ambalo mbinu nitakazokufundisha huwezi kuzipata sehemu nyingine yoyote ile kwa hapa Tanzania tofauti na kwangu?


Nadhani ukijipangia 700,000/= utakuwa upo sahihi japo “mentors” wangu wakisikia nakuuzia kwa hiyo bei wataumia sana na kuniona mimi mwehu maana laki saba ni ndogo sana ukilinganganisha na faida utakazozipata kupitia mbinu nitakazokufundisha.


Lakini unajua chakushangaza ni nini? Hutalipia hiyo 700,000/=


Pesa utakayolipia hata nusu ya hiyo laki 7 haifiki.


Hata Robo yake haifiki.


Nina mpango wa kuuza darasa hili kwa 150,000/=


Lakini kama utanunua leo hii nitakuuzia kwa punguzo la 77%. Yaani badala ya kulipia 150,000/= utalipia...


35,000/= Tu

Kwanini Natoa Punguzo La Bei Kubwa Sana Hivyo?


Kuna sababu 2 na ni rahisi kuzielewa.

  1. Nashusha ngazi chini ili hata walio chini waweze kufika juu.

Tazama, mafanikio hayapatikani kirahisi.


Na hakuna mtu yeyote hapa chini ya jua ambaye anaweza akafanikiwa pasipo muunganiko wa juhudi binafsi na msaada kutoka kwa watu waliomtangulia.


Tunaishi Dunia ya Saidiwa Usaidie


Kuna maarifa nisingeweza kuyapata na nisingekuwa hapa nilipo leo hii endapo nisingepewa punguzo la bei.


Kwahiyo mimi kupunguza bei  ni kama kushusha ngazi chini ili ambao wanataka kupanda juu haraka iwe rahisi sana kwao.


       2. Nahitaji uwe mteja wangu wa kudumu.

Tazama kwa kupunguza bei nina uhakika ntakuwa nimekuwekea urahisi wa kujiunga kwenye darasa hili.


Baada ya kujiunga kwenye darasa hili mbinu utakazojifunza lazima ziifulike biashara yako kwa utitiri wa wateja.


Mpaka hapo ntakuwa nimeuteka moyo wako na...


Kwakua nina madarasa mengine mengi ambayo ninauza kwahiyo nina uhakika utanunua maarifa tena na tena kutoka kwangu.


Kwa maelezo rahisi ni kwamba punguzo hili lina faida pande zote 2. Kwako na kwangu.


Hawa hapa ni baadhi ya wafanyabiashara wachache waliojiunga kwenye darasa hili. Wana yafuatayo ya kusema kuhusu darasa hili:

Kwakweli ni darasa zuri sana na pia nimejifunza mengi na limenipa mwanga zaidi. Sasa najiandaa kuyatekeleza yale amabayo nimejifunza humu. Ningependa kukushauri wewe ambaye unatamani kupata uelewa zaidi kuhusu namna sahihi ya kufanya matangazo mtandaoni ujiunge na darasa hili hutojutia maamuzi yako!

Steven Kolimba  | Uuzaji wa Saa na Urembo (Fashion Accessories)

Kiufupi nimelipenda darasa hili limenipa kitu kipya ambacho sikutegemea ntakipata kwa gharama ndogo kiasi hiki, kiufupi Mungu akubariki sana Mkufunzi wetu Mr Bokko🙏

Remmy Benny  | Dawa Za Tiba Asili


Kiukweli darasa nimelielewa sana sana wacha nikalifanyie kazi nimepata mwangaza mkubwa sana. Nina uhakika wa kupata matokeo mazuri sasa. Asante

Esther Ayo  | Networker (Virutubisho Lishe)

Mimi ni mmoja wa wanufaikaji kupitia Darasa nlilolipata kwa Mr Bokko na Biashara yangu inaendelea vizuri na wateja wapya nawapata kila siku, Ahsante kwa Maarifa Mr Bokko 🙏

Erick Nchimbi  | Vipodozi

HAKIKA DARASA HILI NI MKOMBOZI MKUBWA SANA NA LINASAIDIA SANA SANA LIMENIFUNGUA NA KUNIONYESHA NJIA NA LIMENIBADILISHA SANA.SASA NAANZA KULIFANYIA KAZI

MOHAMED BASSANGA  | HUDUMA YA MAFUNZO YA ELIMU YA FEDHA

Kwanza naomba kutoa shukurani kwa Mr.Bokko kwa kujitolea mda wake na nguvu zake pia kutuelemisha haya yote.

Kwa kweli nimejifunza mengi ambayo mwanzo sikuyajua. Nilikuwa nna elimu kwenye matangazo ya kulipia lakini sikujua kama kuna vitu nilikuwa sina ufahamu navyo mpaka nilivyojiunga na darasa hili nkapata ulewe mzuri na wa kiundani zaidi kuhusu matangazo ya kulipia.

Kwa wale ambao wanaona watapoteza pesa bila ya manufaa yoyote
Naomba uitoe hio imani kisha jiunge na hili darasa uone matunda yake.

Samira salaah  | Facebook & instagram Ad account Maintenance

Asante haitoshi ukilinganisha na nilichokipata Kwenye darasa hili nafurahi Kuona mauzo yangu yameongezeka kiukweli naona kama nimelipia pesa kidogo kwako mr Bokko

Benjamin linzah John  | Networker (MLM)

Darasa ni zuri sana, umefundisha vizuri sana kwa maelezo na vitendo pia.
Nashukuru sana kwa kupata mafundisho haya kwani watu wengi wanafundisha nusu nusu hawatoi maelekezo yote wanachowaza ni hela tu. Mungu akubariki sana.
Mafunzo haya kwangu yamekuja wakati muafaka kabisa kwani nilikuwa nimeshakata tamaa ya kufanya matangazo mtandaoni.
Shukrani sana Mr. Bokko

Rachel David  | Cosmetics

The class was well prepared and well equipped, i have attended a lot of classes concerning this course, but this is lit for sure,, thank you so much and be blessed,,

Avelina Lucas  | Fashion (Nguo)

Ahsante sana kwa kuandaa na kugawana ujuzi na maarifa yako pamoja nasi. darasa lako ni zuri sana na tamu mwalimu wangu sijutii pesa niliyoitoa.sasa ni wakati wa kwenda kufanya kwa vitendo yale yote niliyojifunza Ahsante

siraji swaleh  | Networker (MLM)

Oscar's Testimonial
Dativa's testimonial
Reby Testimonial

UNACHOTAKIWA KUFANYA SASA HIVI NI HIKI:

Saa hiyo hapo juu ikisoma sifuri maana yake punguzo hili la bei halitakuwepo tena.  Kwahiyo epuka kujutia badae utakapokuta bei imepanda. Ni vyema ukajiunga kwenye darasa sasa hivi ili uwe miongoni mwa watu wa kwanza ambao wataanza kufulikwa na wateja kama utitiri.

Tazama, kama familia yako inategemea mafanikio ya biashara yako, fikiria ni kwa kiasi gani utakuwa umewakwamisha kwa wewe kuacha kupata maarifa haya ambayo yataifulika biashara yako kwa utitiri wa wateja?


Au upo tayari kwa macho yako kushuhudia wafanyabiara wenzako watakaojiunga kwenye darasa hili wao peke yako ndio wapate NEEMA ya kufulikwa na wateja huku wewe ukiendelea kuomba ije siku biashara yako ipate wateja wengi ili uisaidie familia yako?


Wewe ndio mwenye maamuzi.


Kujiunga kwenye darasa hili ni rahisi sana.


Na uzuri ni kwamba...


Darasa linafanyika Online Kwenye Tovuti ya kampuni yangu. Baada ya kulipia tu muda huo huo mfumo unakupeleka darasani na unaanza kujifunza au unaweza ukaamua wewe mwenyewe uanze kujifunza muda wowote utakaopenda maana darasa tayari limeshaandaliwa na kuna sehemu ya kuuliza maswali endapo utashindwa kuelewa.


Ili ujiunge kwenye darasa inatakiwa ulipie kwanza halafu ukimaliza kulipia mfumo wenyewe utajua malipo yamekamilika na utakupeleka darasani moja kwa moja na pia mfumo utakutumia barua pepe kwenye simu yako ambayo itakuwa na link ya kukupeleka darasani muda wowote utakapokuwa na uhitaji wa kuanza au kuendelea kujifunza.


Zifuatazo ni hatua 9 Rahisi za kufanya malipo ya kujiunga kwenye darasa.


Hatua ya 1: Bonyeza kule chini sehemu iliyoandikwa "LIPIA SASA" kama inavyoonekana kwenye picha hii hapa chini. (Hii ni picha tu sehemu ya kubonyeza ni kule chini. Kwahiyo soma maelekezo yote kwanza halafu ndo uanze kufuata maelekezo)

Malipo-1

Hatua ya 2: Bonyeza kwa juu upande wa kulia sehemu iliyoandikwa "Viewcart" kama inavyoonekana kwenye picha hii hapa chini.

Malipo-2

Hatua ya 3: Hakikisha bei (Price) inasoma 35,000, Idadi (Quantity) inasoma 1 na "subtotal" inasoma 3,5000. Baada ya kumaliza uhakiki unabonyeza sehemu iliyoandikwa "Proceed to checkout" kama inavyoonekana kwenye picha hii hapa chini.

Malipo-3

Hatua ya 4: Jaza taarifa zako zote hapa chini kwa ajili ya mfumo kutengeneza Risti (Receipt) ya malipo utakayofanya ili baada ya kukamilisha malipo utumiwe Risti ya malipo yako. Taarifa hizo ni kama inavyoonekana kwenye picha hii hapa chini.

Malipo-5

Hatua ya 5: Kwakua baada ya kukamilisha malipo mfumo utakupeleka darasani moja kwa moja hivyo basi inatakiwa utengeneze "Username" na "Password". Username weka jina lolote kulingana na mapendeleo yako lakini mimi nakushauri uweke barua pepe (Email) yako ambayo sio rahisi kuisahau. Na kutengeneza password yako unabonyeza kwenye alama ya jicho kisha unafuta password iliyopo na kutengeneza ya kwako wewe ambayo utaikumbuka. Hata hivyo, kama baada ya kulipia utasahau password yako kuna sehemu utaomba kubadili na kuweka password mpya. Baada ya kukamilisha kutengeneza username na password utabonyeza sehemu iliyoandikwa "Place order"kama inavyoonekana kwenye picha hii hapa chini.

Payment step-5

Hatua ya 6: Malipo yanafanyika kupitia moja ya mitandao  ya simu. Vodacom, Tigo, Halotel na Airtel. Unachotakiwa kufanya bonyeza kwenye alama ya pembe tatu halafu chagua mtandao wa simu mmoja ambao utautumia kufanya malipo kama inavyoonekana kwenye picha hii hapa chini.

SMBPayment step-8

Hatua ya 7: Kulingana na mtandao wa simu ambao umechagua kwenye hatua ya 6, Weka namba ya mtandao husika ambayo itatumika kufanya malipo. Kwa mfano kama kwenye hatua ya 6 umechagua mtandao wa Vodacom, hapa kwenye hatua ya 7 unaweka namba yako ya Voda. Na utafanya hivyo ikiwa umechagua mtandao tofauti. Baada ya hapo utabonyeza sehemu iliyoandikwa "Pay TZS 35,000" kama inavyoonekana kwenye picha hii hapa chini.

Malipo-8

Hatua ya 8: Baada ya kubonyeza "Pay TZS 35,000" kwenye hatua ya 7, utaletewa USSD Push (Meseji) kwenye simu yako ya kukamilisha malipo. Bonyeza 1 kukubali kufanya malipo. Halafu weka namba yako ya siri ya mtandao ambao unakuwa umechagua kuutumia kufanya malipo kama inavyoonekana kwenye picha hii hapa chini.

Payment step-8

Ukimaliza kuweka namba yako sa siri bonyeza 1 kuruhusu 35,000/= ikatwe kutoka kwenye simu yako. Baada ya pesa kukatwa na malipo kukamilika mfumo utajua na utakupeleka darasani moja kwa moja. Itabaki juu yako kuanza kujifunza muda huo huo au badae au siku nyingine kulingana na mapenzi yako.


Labda tuseme unasoma ujumbe huu kwa kutumia simu yako kubwa halafu namba ya simu ambayo unataka uitumie kufanya malipo ipo kwenye simu nyingine kubwa au kitochi (Ndogo) utafanyaje?


Ni rahisi tu...


Fuata hatua ya 1-7 kwa kutumia simu yako kubwa ambayo unaitumia kusoma ujumbe huu sasa hivi halafu mfumo utatuma meseji hiyo ya hatua ya 8 ya kukamilisha malipo kwenye namba ambayo umeweka. Hata kama namba hiyo itakuwa kwenye simu nyingine (Kubwa au ndogo) mfumo utatuma huko huko kwenye simu nyingine tofauti na hii ambayo ndio unaitumia kufanya mchakato wa malipo. Baada ya mfumo kutuma meseji hiyo kwenye simu nyingine unatakiwa ulipie kupitia simu hiyo ambako meseji imetumwa na baada ya hapo mfumo utagundua kuwa umekamilisha malipo na kwenye simu hii uliyofanyia mchakato wa malipo mfumo utakupeleka darasani moja kwa moja licha ya wewe kukamilisha au kumalizia kufanya malipo kwa kutumia simu nyingine.


Lakini pia unatakiwa kwenye simu yako uwe na zaidi ya 35,000/= maana makato ya serikali na mtandao husika ni nje ya hiyo gharama ya kujiunga kwenye darasa. Kama pesa kwenye simu yako itakuwa 35,000/= kamili au chini ya hapo malipo hayatafanikiwa na pesa haitakatwa kutoka kwenye simu yako.


Hizo ndizo hatua za kufanya malipo. Maelezo yanaonekana marefu lakini ukianza mchakato wa kulipa hata dakika 3 hazipiti kabla hujakamilisha malipo.


Kuanza kufanya malipo ni rahisi tu.


Bonyeza hapa chini sehemu iliyoandikwa "LIPIA SASA"

35,000/= | 150,000/= | Save 77%

Na kama unaona mbinu nitakazokufundisha kwenye darasa hili hazitoshi nakuongezea na zawadi ya BONUS zifuatazo kwa BURE kabisa endapo utajiunga kwenye darasa hili.

BONUS-1: Namna Ya Kuchat Na Agent Wa Facebook.


Kama ushawahi kufanya matangazo ya kulipia kabla Fb au Insta nina uhakika ushawahi kupata moja ya changamoto 4 zifuatazo.


  1. Kufungiwa akaunti yako isifanye matangazo tena
  2. Kufungiwa akaunti yako isifanye matangazo kwa muda
  3. Kufungiwa page yako isifanye matangazo
  4. Kuwekewa Deni ambalo huelewi limetoka wapi


Matatizo hayo yanapotokea watu hukimbilia kufungua akaunti mpya na kujikuta wanafungiwa tena na tena kumbe wasijue kuna namna ya kuchat na Agent wa Facebook ukamuelezea tatizo lako na ukasaidiwa ndani ya masaa 24.


Kwa mfano: Tarehe 3 mwezi wa 3 mwaka huu 2023 Facebook aliniwekea deni ambalo sikuelewa limetoka wapi. Mimi deni nililokuwa najua nadaiwa ni dola 66.67 chakushangaza nilipoingia kwenye akaunti yangu nikakuta wameweka nadaiwa dola 78.25


Lakini sikuwa na wasiwasi wowote maana najua namna ya kuchat na Agent wa Facebook. Kwahiyo nilijua ndani ya masaa 24 tatizo hili litakuwa limeisha.


Unaweza ukaona screenshot hapa chini nilivyokuwa nikichat na moja wa Agent wa Facebook

Fb support-1
Fb support-2

Ndani ya masaa 24 deni hilo lililokuwa limeongezeka kimakosa likaondolewa.



Kwahiyo huo ni mfano tu. Tatizo lolote kuhusu Facebook kiujumla ukijua namna ya kuchat na Agent wa Facebook linatatuliwa ndani ya masaa 24.



Thamani ya BONUS hii ni 100,000/=

BONUS-2: Fomula Ya Kutoa OFA ambayo itafanya Bidhaa/ Huduma Yako Iuzike Sana.



Moja ya sababu kwanini hupati wateja wengi ni kutoa OFA mbovu kwa wateja.



Mteja anaweza akawa yupo tayari kununua bidhaa au huduma yako lakini baada ya kutoa OFA mteja akasepa bila kununua.



Na kosa kubwa ni kwamba wafanyabiashara wengi wanajua OFA ni bidhaa yao kumbe si kweli.



Kwahiyo kutoka kwenye BONUS hii utajifunza Fomula ya kutoa OFA ambayo itafanya bidhaa au huduma yako iuzike kirahisi na kwa haraka.



Thamani ya BONUS hii ni 200,000/=

BONUS-3: Jinsi Ya Kutengeneza Landing Page Ya Kuwatoa Wateja Mtandaoni Kuwaleta Kwenye Group Lako La whatsapp.


Zama zimebadilika.



Kipindi cha nyuma ulikuwa unaweza ukarusha tangazo Fb au Insta ukaweka link watu wakaja kwenye group lako la whatsapp moja kwa moja.



Facebook kaondoa utaratibu huo.



Huwezi tena kuweka link ya Group lako la whatsapp.



Unachoweza kuweka ni link ya wateja kukufuata kwenye inbox yako ya whatsapp.



Vipi kama mfumo unaoutumia wa kuuza bidhaa au huduma yako ni kupitia magroup ya whatsapp unafanyeje?



Hii BONUS ipo kwa ajili yako. Nitakufundisha namna ya kutengeneza landing page ambacho ndo kitu Facebook anataka watu wawe nacho. Baada ya kutengeneza landing page hii, unakopi link yake unaweka kwenye tangazo lako la Facebook au Instagram na watu wataweza kujiunga kwenye group lako moja kwa moja.



Thamani ya BONUS hii ni 70,000/=

BONUS-4: Tufanye Utekelezaji pamoja!


Nataka kila atakayejiunga kwenye Darasa hili biashara yake ibadilike aanze kufulikwa kwa wateja wapya kila mwezi.



Njia pekee ya jambo hilo kutokea ni mimi kukusaidia sehemu utakayokwama wakati unafanya utekelezaji wa ambacho nitakufundisha.



Kivipi?


Hii ni BONUS ya siri.



Sitakwambia kivipi nitakusaidia sehemu utakayokwama mpaka ujiunge kwenye darasa kwanza.



Ukijiunga kwenye Darasa Utaiona Hii BONUS ya siri ya kwa jinsi gani nitakusaidia sehemu ambayo utakuwa umekwama wakati wa kufanya utekelezaji wa ambacho nitakufundisha.



Thamani ya BONUS hii ni 800,000/=

BONUS zote 4 thamani yake kwa ujumla ni 1,170,000/=

BONUS hizi ni madarasa yanayojitegemea kabisa Lakini ukijiunga kwenye Darasa hili la Facebook & Instagram Mapene, BONUS zote 4 utazipata kwa BURE  kabisa.


Thamani ya BONUS hizi 3 (1,170,000/=) ni zaidi ya gharama ya kujiunga kwenye darasa (35,000/=) kitu ambacho mara chache sana kutokea sehemu yoyote.

Kwahiyo kwa ujumla, hii hapa orodha ya vitu Vyote utakavyovipata kama utalipia leo:


  • Darasa la Facebook & Instagram MapaneTM – Thamani yake kwa punguzo ni: 35,000/=
  • Namna Ya Kuchat Na Agent Wa Facebook – Thamani yake ni: 100,000/=
  • Fomula Ya Kutoa OFA ambayo itafanya Bidhaa/ Huduma Yako Iuzike Sana – Thamani yake ni: 200,000/=
  • Jinsi Ya Kutengeneza Landing Page Ya Kuwatoa Wateja Mtandaoni Kuwaleta Kwenye Group Lako La whatsapp – Thamani yake ni: 70,000/=
  • Tufanye Utekelezaji pamoja (Bonus ya siri) - Thamani yake ni: 800,000/=

Jumla ya Thamani ya Kila kitu utakachojifunza ni 1,205,000/= lakini wewe utalipia 35,000 Tu kupata kila kitu.

UNACHOTAKIWA KUFANYA SASA HIVI NI HIKI:

Saa hiyo hapo juu ikisoma sifuri maana yake punguzo hili la bei halitakuwepo tena.  Kwahiyo epuka kujutia badae utakapokuta bei imepanda. Ni vyema ukajiunga kwenye darasa sasa hivi ili uwe miongoni mwa watu wa kwanza ambao wataanza kufulikwa na wateja kama utitiri.


Kujiunga kwenye darasa hili ni rahisi sana.


Bonyeza hapa chini sehemu iliyoandikwa "LIPIA SASA" ufanye malipo kwanza halafu baada ya malipo kukamilika muda huo huo mfumo utakupeleka darasani uanze kujifunza kwa maana darasa limeshaandaliwa tayari.

35,000/= | 150,000/= | Save 77%

JE DARASA HILI LINAKUFAA?

Sasa sikiliza, kama bado hujalipia kujiunga kwenye darasa hili, nataka nichukue dakika chache kuzungumza na wewe ili uwe na uhakika kabisa kama kweli darasa hili linakufaa utakapojiunga leo kwasababu binafsi najua darasa hili sio kwa ajili ya kila mtu.



Kwahiyo ni vyema tukachukuwa dakika chake kuona Faida na hasara za darasa hili.



Faida zake ni kwamba Hizi ni mbinu ambazo zimethibitishwa kuleta matokeo, mimi binafsi nazitumia mbinu hizi kuifulika biashara yangu kwa utitiri wa wateja. Na ni mbinu ambazo manguli wakubwa Duniani wa kufanya matangazo ya kulipia mtandaoni wanazitumia. Na pia nina uzoefu mkubwa sana kuhusu matangazo ya kulipia Fb na Insta kwahiyo najua ni nini kinaleta matokeo mazuri na ni kipi hakileti matokeo.



Faida nyingine ni kwamba huhitaji kusubiri miezi kuanza kuona matokeo... Mbinu utakazojifunza kwenye darasa hili zitaanza kukupatia matokeo chini ya masaa 72.



Faida nyingine ni kwamba huhitaji kuwa na bajeti kubwa ya matangazo ndio upate matokeo... Mbinu utakazojifunza kwenye darasa hili zitakuonesha namna ya kupata Faida kubwa kwa bajeti ndogo.



Huhitaji kuwa na uzoefu wowote kuhusu masuala ya mtandao... Katika darasa hili nitakuonesha hatua kwa hatua mpaka uanze kufulikwa na wateja wengi.



Lakini sogea karibu unisikilize vizuri. Sio kwamba darasa hili limekamilika 100%. Darasa hili lina mapungufu yake.



Kwa mfano, nakubali kabisa kwamba darasa hili sio bei chee. Darasa hili lina gharama kubwa. Bei yake ipo juu.



Pia darasa hili litahitaji wewe uwekeze muda wako. (Masaa 6 kuangalia video zote 14)



Litahitaji ufanye kazi ya utekelezaji wa ambacho utajifunza.



Litahitaji ufanye uwekezaji wa pesa kama bajeti ya kufanya matangazo ya kulipia.



Kama huna muda wa kukaa kujifunza na kufanya kazi ya utekelezaji na pesa ya bajeti ya tangazo lako, Darasa hili halitakuwa na faida yoyote kwako.



Bila shaka, siku zote huwa kuna swali la “Vipi kama darasa hili halitanisaidia?”



Naam, ukweli ni kwamba linaweza lisikusaidie.



Kama huna muda wa kukaa kujifunza na kufanya kazi ya utekelezaji wa ambacho nitakufundisha; Kama haupo tayari kutoa pesa kufanya matangazo ya kulipia. Kama haupo tayari kuomba msaada sehemu ambayo utakwama; Kama haupo tayari kupambana na changamoto ambazo unaweza ukakumbana nazo wakati unafanya utekelezaji; Darasa hili kusema ukweli halitakusaidia hata kidogo na ni vyema hata usilipie kujiunga kwenye darasa hili.



Nina uhakika mpaka sasa ushafanya uamuzi sahihi. Kama baada ya maelezo haya unaona darasa hili linakufaa, unachotakiwa kufanya bonyeza hapa chini sehemu iliyoandikwa “LIPIA SASA ili uweze kuingia darasani moja kwa moja. Kumbuka ukijiunga unapata na BONUS 4 kwa BURE kabisa na usisahau punguzo la bei halitakuwepo tena baada ya saa hiyo hapo juu kusoma sifuri.


 



Kujiunga kwenye darasa ni rahisi sana...


Bonyeza hapa chini sehemu iliyoandikwa "LIPIA SASA" ufanye malipo kwanza halafu baada ya malipo kukamilika muda huo huo mfumo utakupeleka darasani uanze kujifunza kwa maana darasa limeshaandaliwa tayari.



35,000/= | 150,000/= | Save 77%


Asante kwa kutenga muda wako kusoma ujumbe huu, Natalajia kukutana na wewe darasani hivi karibuni.



Cheers,

Mr Bokko.

>>> 0768354507 <<<

Dar Es Salaam.


P.S: Ni sawa kuwa na mashaka. Na nalielewa hilo. Lakini ndio maana nakupatia guarantee ya siku 30 kukurudishia 100% ya hela zako zote.



Kumbuka; endapo ndani ya siku 30 biashara yako itakuwa haijafulikwa kwa utitiri wa wateja niambie nitakurudishia hela zako zote bila kinyongo chochote.



Sina haki ya kuila hela yako endapo nitakachokufundisha hakitakusaidia kupata wateja wengi.



Kwahiyo huna cha kupoteza una kila sababu ya kujiunga kwenye darasa hili ili biashara yako ipate kufurahia NEEMA ya kufulikwa kwa wateja wengi kama utitiri.


Bonyeza hapa chini kukubali kufanya malipo kwanza halafu baada ya malipo kukamilika muda huo huo mfumo utakupeleka darasani uanze kujifunza kwa maana darasa limeshaandaliwa tayari.

Kama baada ya maelezo yote hayo bado una maswali unajiuliza na ungependa niyajibu kabla hujajiunga kwenye darasa hili basi hapa chini kuna maswali yanayoulizwa mara kwa mara na majibu yake. Kupata jibu bonyeza juu ya swali husika.

Ntaanza lini kupata matokeo?

Mbinu utakazojifunza kutoka kwenye darasa hili zitaanza kukupatia matokeo ndani ya masaa 72 au chini ya hapo.

Nini kitatokea baada ya mimi kulipia?

Kabla hujalipia utatengeneza username na password za account yako. Baada ya kulipia account yako itakuwa imetengenezwa na muda huo huo utatumiwa Email ambayo itakuwa na link ya kuingia darasani moja kwa moja kwa kutumia username na password ulizotengeneza kabla hujalipia.


Unaweza ukaziangalia video zote 14 muda huo huo na ukaanza kufanya utekelezaji baada ya kuziangalia.


Darasa hili litakuwepo siku zote. Kwahiyo ikitokea kuna kitu umesahau na unataka kujikumbushia unaingia darasani kwa kutumia username na password uliyotengeneza.

Ni kwa namna ipi Darasa hili ni tofauti na madarasa mengine?

Kwanza kabisa...


Mbinu ninazokufundisha mimi binafsi nazitumia na bila kukuficha nimezitumia pindi umeona Tangazo langu Facebook au Instagram mpaka sasa unapoendelea kusoma.


Kwahiyo sikufundishi nadharia mimi kama walimu wengine wanachokifanya. Wanasoma vitabu halafu wanakufundisha vitu ambavyo hawana uhakika kama vitakusaidia kweli.


Nakufundisha mbinu ambazo ninazitumia na zinatumiwa na manguli wakubwa Duniani wanaofanya matanagazo ya kulipia mtandaoni.


Kwasababu wanasema mkono unaotoa sana ndio unaopokea sana.


Na kwakua nataka kupokea sana...


Kwenye Darasa hili nitakufundisha vitu vingi sana mpaka mwenyewe uone umeniibia kwa hela utakayokuwa umelipia kujiunga kwenye darasa.


Kwa kufanya hivyo ntakuwa nimeuteka moyo wako na kukufanya uwe mteja wangu wa kudumu.

Ukilipia darasa unapata nini?

Ukilipia darasa utapata mambo yafuatayo:-


  • Darasa la Facebook & Instagram MapaneTM – Thamani yake kwa punguzo ni: 35,000/= (Utajifunza mbinu za kupata wateja wengi kama utitiri kwa bajeti ndogo na ndani ya muda mfupi)
  •  Namna Ya Kuchat Na Agent Wa Facebook – Thamani yake ni: 100,000/=
  • Fomula Ya Kutoa OFA ambayo itafanya Bidhaa/ Huduma Yako Iuzike Sana – Thamani yake ni: 200,000/=
  •  Jinsi Ya Kutengeneza Landing Page Ya Kuwatoa Wateja Mtandaoni Kuwaleta Kwenye Group Lako La whatsapp – Thamani yake ni: 70,000/=
  • Tufanye Utekelezaji pamoja (Bonus ya siri) - Thamani yake ni: 800,000/=

Kama sijawahi kufanya matangazo ya kulipia kabisa darasa hili litakuwa na msaada wowote kwangu?

Kama hujawahi kufanya matangazo ya kulipia kabla, Darasa hili linakufaa zaidi ya mtu yeyote maana utakuwa una uhakika wa kutopoteza hela zako kwa mbinu za kijinga ambazo hazileti matokeo.


Utaanza kufanya matangazo kwa kutumia mbinu zilizothibitishwa kuleta matokeo ya haraka ndani ya muda mfupi na hivyo kuifanya biashara yako ikue kwa kasi ya ajabu.

Una kampuni au wewe ni janja janja kama walimu wengine?

Mimi sio janja janja kama walimu wengine.


Nina kampuni ambayo imesajiliwa na inatambulika kiserikali.


Kwahiyo ninachokifanya kinatambulika kiserikali na ninalipa kodi.


Kampuni yangu inaitwa Online Marketing System Pro Company Limited.

company Certificate screenshot




This site is not a part of the FacebookTM website or FacebookTM  Inc. Additinally, this site is NOT endorsed by FacebookTM  in any way. FACEBOOKTM is a trademark of FACEBOOKTM, inc.                

Copyright - Online Marketing System Pro

>
error: Content is protected !!
Powered by ProofFactor - Social Proof Notifications