Akaendelea kujiuliza inakuwaje inapotokea sasa mwili unapata hamu ya kutaka kukojoa mara kwa mara? Hii inaashiria nini?
Ikawa ni rahisi kujijibu kwasababu ya elimu yake ya udaktari kwamba mtu ambaye anakojoa mara kwa mara (Mfano mtu mwenye uvimbe wa tezi dume) sababu ni kwamba mwili kwa hali zote unajaribu kuondoa kitu fulani ambacho unahisi ni sumu ndio maana unapata hamu ya kukojoa mara kwa mara.
Lakini kwa suala la uvimbe wa tezi dume akawa hana jibu ni kitu gani ambacho mwili unalazimisha kukitoa kwa kukufanya uhisi kutaka kukojoa mara kwa mara.
Akaendelea kujiuliza ni kitu gani ambacho ni sumu kipo ndani ya watu wanaosumbuliwa na uvimbe wa tezi dume ambacho chanzo chake sio kurithi na sio umri mkubwa? Na kama hivyo kitu hicho kimetoka wapi?
Dr Jeremy akawaza na kuona lazima chanzo cha hizo sumu kitakuwa ni vitu tunavyotumia kila siku au sababu za kimazingira na sio kitu ambacho chanzo chake kipo mwilini.
Hapo ndipo alipopata wazo la kuanza kufuatilia takwimu za visa vya watu wenye uvimbe wa tezi dume.
Anasema alichokigundua baada ya siku kadhaa kilimchukiza na kumfanya apoteze matumaini.
Alivyolinganisha takwimu ya visa vya tezi dume na kansa ya tezi dume zidi ya chati ya uchafuzi wa mazingira kama uchafuzi wa hali ya hewa, udongo na maji alibaini kwamba visa vya uvimbe wa tezi dume vinaendana na chati ya uchafuzi wa maji.
Hii inadhihirisha kwamba uchafuzi wa vyanzo vya maji ndo chanzo kikubwa cha kuwepo kwa visa vingi vya uvimbe wa tezi dume.
Kama ambavyo nimeshakwambia hapo awali, chuo kikuu cha Harvard ndo kilikuwa cha kwanza kuligundua suala hili la maji kusababisha uvimbe wa tezi dume.
Sasa turudi kwenye swali letu:
Jinsi Gani Calcium Deposits Zinasababisha Uvimbe Wa Tezi Dume.
Kwasababu ya uchafu mwingi ulioganda kwenye kuta za ndani za mabomba ya kupitisha maji....

Maji ya bomba sio safi na salama. Ikimaanisha yana uchafu mwingi (Ikiwemo na calcium deposits) ambao ukiingia mwilini mwako unaenda kujikusanya na kujirudinka kwenye kuta za kibofu chako cha mkojo na kusambaa kwenye mfumo wako wa mkojo kama ilivyo kwenye hiyo picha hapo juu.
Kadri uchafu huo unavyozidi kujirundika na kukaa kwa muda mrefu kwenye kuta za kibofu cha mkojo na kwakua tezi dume imepakana na kibofu cha mkojo kama pua na mdomo basi tezi dume yako inaanza kufyonza huo uchafu (Calcium deposits) ambao unaenda kujazana na kurundikana kwenye tezi yako kama chokaa ambayo mwisho wa siku inazalisha presha ndani ya tezi dume ambapo hiyo presha taratibu siku hadi siku inakuwa inafanya tezi yako ivimbe (Ijae upepo kama puto) na baada ya miaka mingi (Kuanzia 35+) ndo unaanza kupata madhara ya uvimbe wa tezi dume.
Hali hii inapotokea mwili unakusaidia kuondoa huo uchafu na sumu kwa kukufanya uhisi kukojoa mara kwa mara lakini ukweli ni kwamba unapokojoa uchafu na sumu hizo havitoki.
Dr Jeremy anasema...
Watafiti waaminifu na wenye ujasiri wa kuweka ukweli ufahamike wamekuwa wakijaribu kukusanya taarifa za kutosha na ushahidi jinsi maji yanavyosababisha uvimbe wa tezi dume lakini malengo yao yanaambatana na changamoto kubwa.
Viongozi wa serikali wamekuwa wakipinga vikali tafiti zao kwasababu wananchi wakijua fika kwamba maji ya bomba ndio chanzo ya uvimbe wa tezi dume kwasababu ya miundombinu kuchoka lazima serikali itapoteza hela nyingi sana kuweka miundombinu mipya ya maji.
Anasema kwa marekani tu peke yake (Baadhi ya miji) itagharimu zaidi ya bilioni 500 dola za kimarekani kurekebisha miundomibu ya maji.
Jiulize tangu uzaliwe mpaka leo ni lini mabomba ya maji yamewahi kubadilishwa?
Je kwa Tanzania yetu itagharimu kiasi gani? Na unahisi serikali itakuwa tayari kukopa matirioni ya pesa ili kubadili miundomibu ya maji?
Kwahiyo kiufupi ni kwamba kuchoka kwa miundombinu ya maji kunasababisha watu wapate maji machafu sana na mwisho wa siku kupelekea wanaume waanze kupata uvimbe wa tezi dume kama watayatumia maji hayo kwa muda mrefu.
Wanawake wao hawapati changamoto yoyote kwenye hili kwasababu hawana tezi dume na mfumo wao wa mkojo hauna mambo mengi na ni mfupi ukilinganisha kwa mfumo wa wanaume.
Kwa hali ya kawaida unapokuwa na hamu ya kukojoa mara kwa mara wewe mwitikio wako ni kutotaka kukojoa mara kwa mara lakini hiyo ni mbaya kwasababu kadri ambavyo uchafu huo uliopo kwenye kuta za kibofu unavyozidi kukaa kwa muda mrefu ndivyo ambavyo unazidi kuganda na kufanya iwe vigumu kutoka kirahisi.
Ukitaka kuthibitisha ukweli huu unaweza kufanya jaribio lifuatalo:
Chukua glass ya maji inayopitisha mwanga (Transparent glass) au chupa ya maji yenye kupitisha mwanga (Transparent bottle) weka maji kisha yaache kwa siku kadhaa.
Kama unaona vitu vyeupe vyeupe kwenye kuta za glass yako fikiria kama umekuwa ukinywa maji hayo kwa miaka mingi ni kiasi gani cha huo uchafu kimerundikana kwenye mfumo wako wa mkojo.
Labda unafikiria kunywa maji mengi kutasaidia kuondoa huo uchafu: Lakini hiyo ni mbaya zaidi maana kadri unavyozidi kunywa maji ndivyo ambavyo huo uchafu unafyonzwa kwenye kuta za kibofu chako na kufanya hali izidi kuwa mbaya.
Na kibaya zaidi ni kwamba unapokojoa, mkojo peke yake ndo unatoka ikimaanisha kwamba presha ya kwenye kibofu inasukuma mkojo utoke halafu unga unga kama chokaa unabakia.
Kadri ya siku zinavyozidi kwenda ndivyo ambavyo uchafu huu na sumu hizi zinazidi kurundikana na ndio maana uvimbe wa tezi dume unatokea kwa watu wenye umri mkubwa ikimaanisha ni matokeo ya mrundikano wa huo uchafu na presha kuongezeka taratibu ndani ya tezi dume yako kwa miaka mingi.
Pengine unasema hunywi maji ya bomba imekuwaje umepata uvimbe wa tezi dume? Labda nikuulize swali: Unataka uniambie tangu uzaliwe hujawahi kabisa kunywa maji ya bomba?
Kama umewahi kunywa maji ya bomba hata kwa miaka 3 nikuulize huo uchafu uliorundikana kwenye mfumo wa mkojo uliutoa kwa njia ipi?
Kwahiyo, kama umeacha kunywa maji ya bomba miaka ya hivi karibuni na wakati miaka mingi umekunywa maji ya bomba, kaa ukijua kuwa uchafu umekuwa ukirundikana siku zote na hatimaye umefikia hatua ya kusababisha tezi dume ijawe na presha ya kusababisha ianze kuvimba kama puto.
Hata kama manispaa uliyopo wanajitahidi kuweka dawa (Chlorine) kwenye maji kuua wadudu na bacteria wabaya. Lakini umewahi kujiuliza kwanini hao bacteria na wadudu wanakufa? Jibu rahisi ni kwamba hiyo dawa (Chlorine) inayowekwa kwenye maji ni sumu.
Ni sumu ambayo kulingana na EPA, Hospitali ya Massachusetts, Chuo kikuu cha Alabama, Chuo kikuu cha Georgia na chuo kikuu cha Floria Marekani vyote vinathibitisha kwamba kunywa maji yenye (Chlorine) kunaongeza uwezekano wa kufa kwa cancer kwa asilimia 44%.
Labda tuseme baada ya dawa kuwekwa na wadudu wakafa maji yatachujwa na kuwa salama. Lakini fikiria uchafu uliogandana ndani ya kuta za mabomba na maji inatakiwa yasafiri umbali mrefu mpaka kufika majumbani... unahisi yanakuwa bado ni safi na salama?
Kwahiyo kiufupi maji ya bomba yana uchafu na bacteria wengi ambao wakiingia mwilini kuna uwezekano wakaanza kukuletea magonjwa ya ajabu ambayo hutapenda hata uyajue.
Pengine bado hujaanza kupata madhara makubwa lakini kadri ya siku zinavyozidi kwenda upo hatarini kupoteza uwezo wa kukojoa kabisa kama ilivyokuwa kwa Dr Jeremy.
Hata hivyo, Dr Jeremy anasema baada ya tafiti za muda mrefu na majaribio mengi aliyofanya suluhisho pekee la kumaliza uvimbe wa tezi dume na usijirudie tena lilikuwa lipo wazi:
Kutafuta kitu pekee ambacho kingeweza kusafisha mrundikano wa uchafu kwenye kibofu na tezi dume na kuvitoa nje ya mfumo wake.
Anashukuru utafiti aliofanya kwasababu wakati wa utafiti alibaini njia fulani ambayo inatumiwa na watu wengi wenye uvimbe wa tezi dume.
Dr Jeremy anasema njia hii ilimsaidia kumpunguza maumivu mara kadhaa kabla hajagundua suluhisho la kumaliza tatizo.Njia hiyo iliyomsaidia kupunguza maumivu mara kadhaa ni:
Chukua chupa ya maji ya moto ya kawaida yasiyounguza na uwe unapitisha taratibu taratibu chini ya korodani zako.
Njia hii haisadii kuondoa unga unga misili ya chokaa uliorundikana lakini inaweza ikapunguza ugumu wa huo mrundikano (Making the crystals a little less hard) na hivyo kufanya usihisi maumivu yoyote wakati wa kukojoa.
Safari ya Dr Jeremy kupambana kupata suluhisho la uvimbe wa tezi dume yake ilikuwa na vikazo vingi sana.
Ilifika hatua akatamani kukata tamaa lakini anasema alivyofikiria yupo kwenye umri wa kustaafu halafu maisha yake yote amepambana ili akistaafu apumzike na afurahie maisha lakini kwasababu ya uvimbe wa tezi dume atajikuta badala ya kufurahia maisha anaishia kuhangaika kwenda kukojoa mara kwa mara muda wote na kuvaa NEPI kama mtoto...
Kwahiyo akapata nguvu ya kutafuta suluhisho la kumaliza tatizo lake.
Siku moja katika tafiti zake akasoma makala moja inayosema kwamba Japan ni inchi pekee Duniani ambayo watu wake sio rahisi kupata uvimbe wa aina yoyote.
Dr Jeremy akaendelea kudadisi na kutafiti kwa kina kujua ni nini wajapani wanatumia ambacho kinawakinga wasipate uvimbe wa aina yoyote ile.
Baada ya tafiti za muda mrefu akagundua wajapani wana mmea asilia unaoitwa Polygonum Cuspidatum (Jananese knotweed)
Majani ya mmea huu yanasifika kwa kuyeyusha uvimbe wa aina yoyote ile, kusafisha na kuondoa sumu na uchafu mwilini.
Mpaka hapo kazi ya Dr Jeremy ikawa ni moja: Kutafuta majani hayo na kutengeneza dawa ya kumsaidia kupona uvimbe wa tezi dume.
Madaktari wenzake Dr Jeremy walikuwa tayari kumsaidia kwa kila hatua kwasababu kuna baadhi walikuwa na ndugu na marafiki wenye uvimbe wa tezi dume. Kwahiyo walijua wakifanikisha kugundua tiba sahihi watakuwa wameokoa maisha ya ndugu zao na mamilioni ya watu wenye uvimbe wa tezi dume.
Kwa msaada wa madaktari wenzake na kwa majaribio ya karibia miezi 9 walifanikiwa kugundua fomula ya kutengeneza vidonge katika viwango vinavyohitajika na ubora wa hali ya juu.
Kwa majaribio waliyofanya waliweza kuona ni kwa jinsi gani vidonge hivyo vinasafisha uchafu wote kwenye mifumo ya mwili na kuyeyusha uvimbe wa aina yoyote ile.
Kwahiyo ukivitumia vidonge hivi vinaenda kufanya kazi kwa hatua 4 zifuatazo:
Hatua ya kwanza: Kulainisha (Dissolve) mrundikano wa sumu na uchafu (Calcium deposits) kwenye kibofu chako na tezi dume yako.
Hatua ya pili: Kusafisha na kuondoa uchafu na sumu zote kutoka kwenye mfumo wako wa mkojo.
Hatua ya tatu: Kuyeyusha uvimbe wa tezi dume, kuzuia tezi isivimbe tena na kuimarisha mfumo wa mkojo.
Hatua ya nne: Kuongeza hamu ya tendo la ndoa na stamina ya kuhimili tendo.
Jinsi Ambavyo Tiba Ilivyoanza Kufanya kazi!
Dr Jeremy yeye ndo alikuwa mtu wa kwanza kuitumia dawa hii kwasababu kimsingi yeye ndo sababu ya kwanini dawa imetengenezwa.
Hakuna aliyeamini kama ndani ya wiki 5 tu tatizo lingeisha kabisa. Ilikuwa kama miujiza. Kutoka kwenye hali ya kuvaa nepi na kukojoa kwa shida, lakini ndani ya wiki kadhaa Dr Jeremy aliachana na NEPI na hakukojoa kwa shida tena. Hali yake ya awali ilirejea tena.
Hata hivyo Dr Jeremy anasema huo ulikuwa mwanzo tu wa miujiza kwasababu madaktari wenzake walipoona hivyo walianza kuwajulisha ndugu jamaa na rafiki zao wa karibu kujaribu dawa hiyo.
Dr Jeremy anasema walishangazwa na kufurahishwa kwa meseji za shukurani walizotumiwa: Wahanga wa muda mrefu zaidi ya miaka 10 ambao walikuwa wamefikia hatua ya kukojoa kwa mipira sasa walikuwa wakitoa shuhuda zao za kuwa na afya njema kwa mara nyingine tena na kuwa na nguvu na stamina wakati wa tendo.
Wengine walitoa shuhuda zao kwamba ilikuwa wafanyiwe upasuaji lakini baada ya kutumia dawa hiyo upasuaji huo ulighairishwa.
Kulingana na matokeo makubwa ambayo watu walikuwa wanayapata ndani ya muda mfupi kwa kutumia dawa hii basi Dr Jeremy akaona si vyema kukaa kimya na kuacha mamilioni ya wahanga duniani wateketee au uzee wao waumalize wakihangaika kuwa na safari za kwenda kukojoa mara kwa mara au kuvaa nepi wakati suluhisho la kweli na uhakika limepatikana.
Kwahiyo Dr Jeremy na wenzake wakaamua kuanza kuzalisha dawa za kutosha ili zisambazwe duniani kote kuwasaidia wahanga wa uvimbe wa tezi dume.
Yeye na wenzake wakaamua waipe dawa hii jina la: Restorlyf

Restorlyf ni suluhisho la kipekee ambalo kwa asilimia 100% limeandaliwa kisayansi na kiasilia kuweza kuondoa kiini cha tatizo la uvimbe wa tezi dume (the solid microscopic matters and toxic mineral buildup from hard water)
Na taarifa njema ni kwamba dawa hii imethibitishwa na mamlaka za afya duniani (FDA) na TMDA kwa hapa Tanzania. Kwahiyo dawa hii ni salama kwa afya yako na haina madhara yoyote kwasababu ni dawa asilia.
Tangu dawa hii ianze kusambazwa, Restorlyf imeweza kusaidia wahanga zaidi ya 300,000 Marekani peke yake. Na kwa hapa Tanzania zaidi ya 2000. Wahanga kama:
Nakushukuru sana Bokko. Kwa sasa ile hali ya kuamka sana usiku kwenda kukojoa imeisha kabisa. Halafu na mkojo wangu unatoka vizuri kabisa na sipati maumivu yoyote. Dawa yako ni kiboko asee.
Jimmy Haule | Kutoka Dar es Salaam:
Uvimbe wangu ulikuwa unaongezeka kwa kasi ya ajabu nilikuwa nahofia muda wowote ningeweza kuwekewa mpira maana hali ilikuwa imeanza kuwa mbaya. Nilipata nguvu nilipopata taarifa kuhusu suluhisho hili. Kutoka kukojoa mara 20 au na zaidi kwa siku mpaka kukojoa mara 5 kwa siku nzima sio mbaya.
Juma Abdallah | Kutoka Tabora:
Mpaka sasa nadhani utakuwa upo tayari kuijaribu dawa hii ili wewe mwenyewe ujionee maajabu yake.
Kwasababu Restorlyf ni dawa pekee ambayo imefanyiwa tafiti za kisayansi na ni dawa ambayo ina rekodi ya kuyeyusha uvimbe wa tezi dume ndani ya muda mfupi.