”
Nakushukuru sana Bokko. Kwa sasa ile hali ya kuamka sana usiku kwenda kukojoa imeisha kabisa. Halafu na mkojo wangu unatoka vizuri kabisa na sipati maumivu yoyote. Dawa yako ni kiboko asee.
Unataka Nikuoneshe Njia Asilia Ya Kutibu Uvimbe Wa Tezi Dume Iliyothibitishwa Na Mamlaka Za Dawa Duniani (FDA) Na TMDA Kwa Hapa Tanzania?
Ndugu msomaji,
Nina swali moja kwako...
Ungependa nikuelekeze jinsi ya kupata suluhisho la uhakika na la kudumu la kuyeyusha uvimbe wa tezi dume ili usipate tena changamoto ya kukojoa mara kwa mara?
Kama umejibu ndio, basi ujumbe huu utakuwa wa kufurahisha hujapata kuona.
Na hii hapa ndio sababu:
Tafiti za kisayansi zinaonesha kwamba wanaume wote wenye umri kuanzia miaka 50 kupanda juu wana uvimbe wa TEZI DUME!
Na kati ya wote wenye uvimbe wa tezi dume, nusu (50%) yao uvimbe huo haujaanza kuwaletea shida na wakati nusu iliyobaki ni ambao uvimbe huu wa tezi dume ushaanza kuwaletea shida.
Kwahiyo kama hujaanza kupata shida yoyote kwenye suala la ukojoaji tambua kwamba uvimbe unao lakini upo kwenye kundi la watu wenye uvimbe wa tezi dume ambao haujaanza kuleta madhara.
Lini utaanza kukuletea madhara? Hakuna anayejua. Muda wowote -Unaweza ukaanza kukuletea madhara mwilini.
Kwa ambae uvimbe huu ushaanza kuleta madhara mwilini athari zake zipo kwenye ukojoaji. Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku, ukikojoa mkojo hautoki wote, Kukojoa kwa kujikamua, kukojoa mkojo unaorudi kwa nyuma na dalili zingine nyingi.
Kuna baadhi dalili za uvimbe huu ni kali sana wakati wengine ni za kawaida.
Tafiti zinaonesha kwamba dalili kuwa kali haitokani na uvimbe kuwa mkubwa. Kuna watu wana uvimbe mdogo na dalili zake ni kali sana, wakati wengine wana uvimbe mkubwa na dalili zake ni ndogo. Miili inatofautiana, hivyo ukubwa wa uvimbe sio kigezo cha kupata maumivu makali.
Kwahiyo kama una miaka 50 au na zaidi nakuhimiza uanze kutumia suluhisho la kumaliza uvimbe wa tezi dume kabla haujaanza kukuletea madhara makubwa kama:
Lakini kabla hatujafika mbali unatakiwa uelewe kwamba...
Kila Mwanaume Ana Tezi Dume Na Kuwa Na Tezi Dume Sio Tatizo!
Ni kweli kila mwanaume anazaliwa na tezi dume. Kazi ya hii tezi dume ni kuzalisha ute ute wa kulinda mbegu za kiume wakati wa tendo la ndoa.
Makuzi ya tezi hii yanaanza pindi unapozaliwa mpaka pindi unapokufa. Hii inamaanisha kila siku tezi yako inakua na kuongezeka ukubwa.
Madhara ya tezi dume yanaanza pindi ambapo tezi dume yako imekuwa kubwa sana kiasi cha kwamba inaanza kuleta athari zake kwenye ukojoaji.
Kuanzia mwaka mmoja mpaka 20 ukubwa wa tezi hii ni kama punje moja ya karanga (20g)
Miaka 20 mpaka 40 ukubwa wa tezi dume ni kama mpira wa tenesi (30-35g)
Kuanzia miaka 40 na kupanda tezi dume inakuwa kubwa kama kiazi kitamu (500g)
Swali la kujiuliza ni kwamba utajuaje kama una uvimbe wa tezi dume?
Hospitalini kuna vipimo vya aina 3 ambavyo vinalenga kubaini ukubwa wa tezi dume yako na kujua kama una uvimbe au laa.
Vipimo hivyo ni: ultrasound, MRI na Rectal Exams.
Hata hivyo kuna njia rahisi ambayo unaweza kuitumia ukiwa nyumbani kubaini ukubwa wa tezi dume yako.
Unachotakiwa kufanya ni hiki:
Hesabu ni mara ngapi unaenda kukojoa ndani ya masaa 24. Kama unaenda kukojoa zaidi ya mara 7 hii inaashiria kwamba tezi dume yako ipo kwenye hatari ya kuvimba na unatakiwa uwahi kupata suluhisho mapema kabla uvimbe haujaanza kukuletea madhara makubwa.
Nini Kinasababisha Tezi Dume Ivimbe Na Kuanza Kuleta Madhara Kwenye Ukojoaji?
Ni muhimu kujua nini kinapelekea mpaka tezi dume yako ivimbe kwasababu ukijua inakuwa ni rahisi kuelewa nini kifanyike kuweza kumaliza kiini na chanzo cha tatizo.
Usipoelewa chanzo cha tatizo ni nini lazima iwe ngumu kumaliza tatizo kwasababu unaweza kujikuta siku zote unatumia tiba ambazo haziendi kumaliza chanzo cha tatizo na hivyo kujikuta unapoteza pesa na muda kwenye tiba za hovyo ambazo hazifanyi kazi.
Iko hivi....
Kuna mambo 2 ambayo yanasababisha tezi dume ivimbe kwa mwanaume mwenye miaka 50 au na zaidi.
Kisababishi Cha Kwanza: Dihydrotestosterone (DHT).
Makuzi ya tezi dume yanayotokea kila siku yanategemea DHT. Yaani Kuanzia siku unazaliwa na kadri ya umri unavyozidi kwenda DHT ndio inachochea Tezi dume yako iweze kukua na kutanuka. Bila DHT tezi dume yako haiwezi ikakua.
Inapofika miaka 40 na kupanda kunakua na uzalishwaji wa DHT usio wa kawaida.
Hali hii inapelekea kuwa na makuzi ya tezi dume yasiyo ya kawaida na hivyo kupelekea tezi dume yako ianze kuvimba.
Na DHT ndio sababu ya kwanini ukifanyiwa upasuaji baada ya muda uvimbe unarudi tena.
Uvimbe unarudi tena kwasababu baada ya kufanya upasuaji makuzi ya tezi dume yanaendelea chini ya uchochezi wa DHT. Kwahiyo makuzi yakiendelea itafika muda uvimbe utajirudia tena.
Kila Kitu Kinachozalishwa Mwilini Lazima Kina Chanzo Chake. Kwahiyo Ngoja Nikuoneshe Chanzo Cha DHT Katika Mwili Wako Ni Kipi!
Kwakuwa DHT ni moja ya visababishi vya uvimbe wa tezi dume. Kwahiyo kuzuia uvimbe huo usitokee tena ni kujua chanzo chake ni kipi mwilini ili kuweza kudhibiti uzalishaji wake usiwe wa kiasi cha kusababisha madhara.
Ukiweza kudhibiti uzalishaji wa DHT unaoleta madhara mwilini mwako utakuwa umefanikiwa kuzuia makuzi ya haraka ya tezi dume yako.
Kwahiyo, kama unauvimbe baada ya kudhibiti uzalishaji wa DHT kinachobaki ni kuyeyusha uvimbe. Kwa kufanya hivyo, uvimbe unaisha na unakuwa na uhakika wa kutopata tena uvimbe kwasababu uzalishaji wa DHT unakuwa katika kiwango cha kawaida kisicholeta madhara ya uvimbe kutokea tena.
Swali la kujiuliza ni kwamba...
DHT inatoka wapi au inazalishwa na nini mwilini?
DHT Ni Kama Unga Ambao Ni Matokeo Ya Kusagwa Kwa Mahindi Mashineni.
Ili upate unga lazima mashine iyasage na kuyaponda ponda mahindi kuyageuza unga.
Mashine ikisaga mahindi mengi utapatikana unga mwingi. Na mashine ikisimama kusaga mahindi au ikipunguza kasi ya kusaga mahindi maana yake utapatikana unga kidogo.
Kwa mfano huo ndivyo ilivyo kwenye utengenezwaji wa DHT mwilini. Ili DHT ipatikane lazima mashine ya mwili (Enzyme) iitwayo 5-alpha Reductase ifanye kazi ya kuigeuza homoni ya kiume iitwayo Testosterone kuwa Dihydrotestosterone (DHT).
Baada ya Testosterone kugeuzwa kuwa DHT, DHT ndio inafanya kazi yake ya kuchochea ukuaji wa tezi dume yako.
Ikitokea ikazalishwa DHT nyingi matokeo yake ni makuzi ya haraka ya tezi dume na hivyo kupelekea tezi dume ianze kutanuka na kuvimba.
Kwahiyo,Kwakuwa DHT ndio mojawapo ya visababishi vya uvimbe wa tezi dume kutokea, njia rahisi ya kudhibiti uzalishaji wa DHT ili isiendelee kuleta madhara ni kudhibiti mashine inayopelekea DHT ipatikane. Mashine hiyo ni 5-alpha Reductase.
Ukiweza kudhibiti mashine hii maana yake ni kwamba kiasi kidogo cha DHT kitazalishwa na hivyo kiasi hiki hakitakuwa na madhara yoyote kwenye makuzi ya tezi dume yako.
Kisababishi Cha Pili: Maji Ya Bombani.
Tafiti za hivi karibuni kutoka chuo kikuu cha Harvard nchini marekani (Sector ya afya)...
Zinaonesha kwamba KISABABISHI cha pili cha uvimbe wa tezi dume ni maji ya bombani.
Iko hivi:
Maji yote ya bombani yana uchafu mwingi usioonekana kwa macho ya kawaida na yana calcium. Maji haya yakipita sehemu fulani kwa muda mrefu, unga unga misili ya chokaa (Calcium deposits) unatokea.
Ndio maana mabomba yote ambayo yanapitisha maji kwa muda mrefu yapo kama inavyoonekana kwenye picha hapa chini.
Kwahiyo, unapokunywa maji ya bomba yawe ya kuchemshwa au yasiyochemshwa kwakua sio safi na salama – Ikimaanisha yana uchafu mwingi (Ikiwemo na calcium deposits) ambao ukiingia mwilini mwako unaenda kujikusanya na kujirudinka kwenye kuta za kibofu chako cha mkojo na kusambaa kwenye mfumo wako wa mkojo kama ilivyo kwenye hiyo picha hapo juu.
Kadri uchafu huo unavyozidi kujirundika na kukaa kwa muda mrefu kwenye kuta za kibofu cha mkojo na kwakua tezi dume imepakana na kibofu cha mkojo kama pua na mdomo basi tezi dume yako inaanza kufyonza huo uchafu (Calcium deposits) ambao unaenda kujazana na kurundikana kwenye tezi yako kama chokaa ambayo mwisho wa siku inazalisha presha ndani ya tezi dume ambapo hiyo presha taratibu siku hadi siku inakuwa inafanya tezi yako ivimbe (Ijae upepo kama puto) na baada ya miaka mingi (Kuanzia 40+) ndo unaanza kupata madhara ya uvimbe wa tezi dume.
Hali hii inapotokea mwili unakusaidia kuondoa huo uchafu na sumu kwa kukufanya uhisi kukojoa mara kwa mara lakini ukweli ni kwamba unapokojoa uchafu na sumu hizo havitoki.
Wanawake wao hawapati changamoto yoyote kwenye hili kwasababu hawana tezi dume na mfumo wao wa mkojo hauna mambo mengi na ni mfupi ukilinganisha kwa mfumo wa wanaume.
Kwa hali ya kawaida unapokuwa na hamu ya kukojoa mara kwa mara wewe mwitikio wako ni kutotaka kukojoa mara kwa mara lakini hiyo ni mbaya kwasababu kadri ambavyo uchafu huo uliopo kwenye kuta za kibofu unavyozidi kukaa kwa muda mrefu ndivyo ambavyo unazidi kuganda na kufanya iwe vigumu kutoka kirahisi.
Ukitaka kuthibitisha ukweli huu unaweza kufanya jaribio lifuatalo:
Chukua glass ya maji inayopitisha mwanga (Transparent glass) au chupa ya maji yenye kupitisha mwanga (Transparent bottle) weka maji kisha yaache kwa siku kadhaa.
Kama unaona vitu vyeupe vyeupe kwenye kuta za glass yako fikiria kama umekuwa ukinywa maji hayo kwa miaka mingi ni kiasi gani cha huo uchafu kimerundikana kwenye mfumo wako wa mkojo.
Labda unafikiria kunywa maji mengi kutasaidia kuondoa huo uchafu: Lakini hiyo ni mbaya zaidi maana kadri unavyozidi kunywa maji ndivyo ambavyo huo uchafu unafyonzwa kwenye kuta za kibofu chako na kufanya hali izidi kuwa mbaya.
Na kibaya zaidi ni kwamba unapokojoa, mkojo peke yake ndo unatoka ikimaanisha kwamba presha ya kwenye kibofu inasukuma mkojo utoke halafu unga unga kama chokaa unabakia.
Kadri ya siku zinavyozidi kwenda ndivyo ambavyo uchafu huu na sumu hizi zinazidi kurundikana na ndio maana uvimbe wa tezi dume unatokea kwa watu wenye umri mkubwa ikimaanisha ni matokeo ya mrundikano wa huo uchafu na presha kuongezeka taratibu ndani ya tezi dume yako kwa miaka mingi.
Tazama:
Hata kama manispaa uliyopo wanajitahidi kuweka dawa (Chlorine) kwenye maji kuua wadudu na bacteria wabaya. Lakini umewahi kujiuliza kwanini hao bacteria na wadudu wanakufa? Jibu rahisi ni kwamba hiyo dawa (Chlorine) inayowekwa kwenye maji ni sumu.
Ni sumu ambayo kulingana na EPA, Hospitali ya Massachusetts, Chuo kikuu cha Alabama, Chuo kikuu cha Georgia na chuo kikuu cha Floria Marekani vyote vinathibitisha kwamba kunywa maji yenye (Chlorine) kunaongeza uwezekano wa kufa kwa cancer kwa asilimia 44%.
Labda tuseme baada ya dawa kuwekwa na wadudu wakafa maji yatachujwa na kuwa salama. Lakini fikiria uchafu uliogandana ndani ya kuta za mabomba na maji inatakiwa yasafiri umbali mrefu mpaka kufika majumbani... unahisi yanakuwa bado ni safi na salama?
Kwahiyo kiufupi maji ya bomba yana uchafu na bacteria wengi ambao wakiingia mwilini kuna uwezekano wakaanza kukuletea magonjwa ya ajabu ambayo hutapenda hata uyajue.
Pengine bado hujaanza kupata madhara makubwa lakini kadri ya siku zinavyozidi kwenda upo hatarini kupoteza uwezo wa kukojoa kabisa.
Kwahiyo kama chanzo cha uvimbe wa tezi dume yako ni maji ya bombani suluhisho pekee ni kusafisha mrundikano wa uchafu kwenye kibofu na tezi dume na kuvitoa nje ya mfumo wako.
Natumaini mpaka sasa umejua visababishi viwili vya tezi dume yako kuvimba na nini kifanyike kuweza kupona changamoto hii. Kilichobaki ni nini utumie kuweza kuyeyusha uvimbe huo.
Taarifa njema ni kwamba Nature’s Way shirika la marekani kwa tafiti za muda mrefu wameweza kugundua kanuni ya kutengeneza vidonge asilia kutoka kwenye mmea asilia wa Kijapani unaoitwa “Polygonum Cuspidatum (Jananese knotweed)
Majani ya mmea huu yanasifika kwa kuyeyusha uvimbe wa aina yoyote ile, kusafisha na kuondoa sumu na uchafu mwilini.
Vidonge hivi vilivyotengenezwa kutoka kwenye mmea asilia wa kijapani vimepewa jina la Restorlyf.
Vidonge vya Restorlyf vinafanya kazi zifuatazo mwilini...
Si hivyo tu...
Kwakuwa inakisika kwamba visababishi vingine vya uvimbe huu wa tezi dume kutokea ni magonjwa ya uzeeni kama kisukari, presha, mwili kufa ganzi, viungo kuuma n.k ...vidonge hivi vimetengenezwa katika namna ambayo itasaidia kupunguza makali ya magonjwa hayo yote ya uzeeni.
Kwahiyo, ukitumia vidonge hivi vitakusaidia kuondoa uvimbe wa tezi dume na kuzuia usijirudie tena na vidonge hivi pia vitakusaidia kupunguza makili ya magonjwa ya uzeeni.
Vidonge hivi vimetengenezwa kiasilia kabisa katika namna ambayo haitaleta madhara ya aina yoyote ile mwilini mwako.
Si hivyo tu...
Vidonge hivi vimethibitishwa na mamlaka za chakula na dawa (FDA) duniani na TMDA kwa hapa Tanzania.
Kwahiyo, wasiwasi wako wa kupata madhara yoyote baaba ya kutumia vidonge hivi uweke pembeni kabisa. Vidonge hivi ni salama kwa afya ya mwili wako.
Utakapoanza kutumia vidonge hivi siku hadi siku.... wiki hadi wiki... Utashangazwa sana kwa mabadiliko utakayoanza kuyaona.
Uvimbe utaanza kuyeyushwa kama yanavyoyeyuka mafuta yaliyoganda kwenye kikaangio cha moto.
Utaanza kukojoa bila shida yoyote. Hali ya kukojoa kila baada ya muda mfupi itaondoka kabisa. Usiku utaweza kulala kwa amani bila usumbufu wa kuamka ovyo kwenda kukojoa.
Kiufupi baada ya kumeza vidonge hivi changamoto na karaha zote zitokanazo na uvimbe wa tezi dume yako zitaisha kabisa.
Mfumo wako wa mkojo utarudi kuwa kama wa kijana wa miaka 25.
Hakika Vidonge Hivi Ni Tiba Mpya Na Ya Kipekee Ambayo Haijawahi Kugunduliwa!
Usiyaamini maneno yangu. Baadhi ya watu waliotumia vidonge hivi wana yafuatayo ya kusema:
”
Nakushukuru sana Bokko. Kwa sasa ile hali ya kuamka sana usiku kwenda kukojoa imeisha kabisa. Halafu na mkojo wangu unatoka vizuri kabisa na sipati maumivu yoyote. Dawa yako ni kiboko asee.
”
Uvimbe wangu ulikuwa unaongezeka kwa kasi ya ajabu nilikuwa nahofia muda wowote ningeweza kuwekewa mpira maana hali ilikuwa imeanza kuwa mbaya. Nilipata nguvu nilipopata taarifa kuhusu suluhisho hili. Kutoka kukojoa mara 20 au na zaidi kwa siku mpaka kukojoa mara 5 kwa siku nzima sio mbaya.
”
Tatizo hili linakufanya ujihisi upo gizani, mpweke na mtumwa wa kukojoa kila baada ya dakika 2. Kwa muda wa miaka 5 hayo ndo yalikuwa maisha yangu. Hali ilikuwa ni mbaya sana. Nikichelewa kwenda chooni ilikuwa lazima nijikojolee. Nilivyosikia habari kuhusu njia yako nikaona ngoja nijaribu lakini sikutegemea kama njia yako ingefanya kazi haraka hivyo na ndani ya muda mfupi. Kwa jinsi nilivyo sasa na nilivyokuwa nahangaika. Nakushuru sana. Barikiwa sana.
”
Niwe mkweli mwanzoni nilikuwa sina imani kabisa na dawa yako. Lakini unajua ukiwa mgonjwa halafu umepoteza matumaini ya kupona unakuwa tayari kujaribu kila kitu. Namshukuru Mungu nilijaribu restorlyf. Kwa sasa sibanwi na mkojo mara kwa mara. Sipati maumivu nikiwa nakojoa. Nalala kwa amani kama mtoto mdogo. Cha kufurahisha ni kwamba Daktari wangu bado haamini kama dawa yako imeweza kunisaidia au kuna kingine cha ziada.
”
Kabla sijatumia restorlyf nilikuwa nimeshasahau ni lini nimewahi kuhisi kibofu changu kutokujaa mkojo. Kila muda nilikuwa nahisi kibofu kimejaa mkojo lakini baada ya kutumia njia yako sasa nakojoa kama bomba la maji ya zima moto. Najihisi mwenye nguvu. Najihisi huru. Asante. Natumai watu wengi watapata taarifa kuhusu njia hii.
”
Nina miaka 73 nilidhani RestorLyf haitanisaidia. Nimepona uvimbe wa tezi dume. Mgongo hauniumi tena. Maumivu ya maungio yametoweka kabisa. Hii dawa ni kiboko ya magonjwa ya uzeeni.
”
Sio kwamba RestorLyf imenisaidia kuyeyusha uvimbe peke yake. Kilichonishangaza ni kwamba hata presha yangu imeshuka kabisa wakati imekuwa ikinisumbua kwa muda mrefu. Hakika sitoacha kuendelea kuitumia RestorLyf katika maisha yangu.
”
Wiki ya pili baada ya kutumia RestorLyf niliamua kurudi hospitalini kupima kuona uvimbe umefikia wapi. Majibu yalitushangaza sana mimi na doctor. Vipimo vilionyesha sina uvimbe tena. “Umetumia nini mpaka uvimbe huo kuondoka bila kufanyiwa upasuaji?” Aliuza Doctor. Bila kusita nikamwambia ni RestorLyf.
”
Nilikuwa nimechoshwa na hali ya kuulizia choo kiko wapi kila mahali nilipojua nitakaa zaidi ya dakika 10. Lakini baada ya kutumia RestorLyf nimeshangazwa sana maana sio kawaida yangu kukaa sehemu zaidi ya saa moja bila kuhisi kutaka kwenda kukojoa.
”
RestorLyf ni kiboko. Nilikuwa nimechoshwa na hali ya kuamka zaidi ya mara 7 usiku mzima kwenda kukojoa. Na nikikojoa unatoka mkojo kidogo tu. Kwa sasa mambo ni safi kabisa. Usiku siamki hata mara moja kukojoa. Nalala kwa amani kabisa.
Kama unavyoona hicho ndicho walichokipata baadhi ya wahanga wa tatizo baada ya kutumia Vidonge hivi vya (RestorLyf)
Mpaka sasa nadhani utakuwa upo tayari kuijaribu dawa hii ili wewe mwenyewe ujionee maajabu yake.
Kwasababu Restorlyf ni dawa pekee ambayo imefanyiwa tafiti za kisayansi na ni dawa ambayo ina rekodi ya kuyeyusha uvimbe wa tezi dume ndani ya muda mfupi.
Matumizi ya Restorlyf !
Dozi kamili ya restorlyf ni siku 90.
Ndani ya siku 90 tayari uvimbe utakuwa umeyeyuka na kuisha kabisa.
Wapo ambao uvimbe unaisha kabla ya siku 90 lakini inashauriwa utumie dozi kamili ya siku 90 ili kuzuia kabisa uvimbe usijirudie tena.
Hata hivyo...
Mabadiliko utaanza kuyaona ndani ya wiki ya kwanza ya kuanza kutumia restorlyf.
Matumizi ya restorlyf ni kama ifuatavyo:
Unameza kutwa mara moja (1x1). Muda mzuri wa kumeza ni wakati wa usiku.
Wakati huo wa usiku unaweza kuamua kumeza kabla hujala au baada ya kula chakula cha usiku.
Ukiamua kumeza kabla ya chakula cha usiku hakikisha unafanya hivyo mpaka mwisho wa dozi na ukiamua kumeza baada ya chakula cha usiku hakikisha unafanya hivyo mpaka mwisho wa dozi.
Kama ukimeza kabla ya chakula cha usiku inatakiwa baada ya kumeza ukae lisaa limoja pasipo kula kitu chochote ili kuiacha dawa ifanye kazi kwanza halafu baada ya lisaa limoja unaweza kula kitu chochote kulingana na mapenzi yako.
Na kama utaamua kumeza baada ya kula chakula cha usiku inatakiwa baada ya kula ukae masaa 2 kwanza halafu ndio umeze kidonge chako 1.
Na endapo kuna dawa zingine unatumia usiziache ghafla kwasababu zitaupa mwili mshituko. Unachotakiwa kufanya endelea kuzimeza kwa muda hata wa wiki 2 halafu ndio uziache. Lakini hakikisha unazimeza muda tofauti na Restorlyf.
Tenganisha muda wa kumeza angalau wa masaa 2.
Kwa kufanya hivyo baada ya siku kadhaa utaanza kuona mabadiliko kwenye suala la ukojoaji. Na baada ya mwezi mmoja au na zaidi utakuwa umeona mabadiliko makubwa sana na UVIMBE utakuwa umeisha.
Inagharimu Kiasi Gani Kupata Tiba Hii Ya Restorlyf?
Ukilinganisha bei ya restorlyf na dawa zingine za tezi dume ambazo kimsingi hata hazimalizi tatizo likaisha kabisa binafsi utapendekeza bei ya restorlyf iwe juu.
Na ukizingatia wateja wetu wengi waliotumia restorlyf wameweza kupona uvimbe wa tezi dume ndani ya muda mfupi na pasipo kuendelea kupoteza pesa kwenye njia kama upasuaji na madawa mengine ya gharama ambayo hayafanyi kazi wengi wao wanasema hata gharama ya restorlyf ingekuwa 2,000,000 wangenunua.
Fikiria kwa muda ni kiasi gani ungekuwa tayari kulipa ili kukusaidia wewe kuweza kukojoa bila shida mara kadhaa tu kwa siku (Kiafya), kuwa na stamina nzuri wakati wa tendo na kulala vizuri bila karaha za kuamka kwenda kukojoa matone au...
Ni kiasi gani ungekuwa tayari kutoa kupata tiba ambayo kwa asilimia 100% unajua lazima ifanye kazi?
700,000? 1,000,000? Au 2,000,000?
Lakini unajua nini? Hutalipia pesa hiyo.
Shirika hili la Marekani linalotengeneza Restorlyf wameamua kuweka bei ambayo kila mtu anaweza akaimudu na kwa wakati huo huo pesa hiyo iweze kusaidia kuendesha uzalishaji wa dawa zingine kulingana na uhitaji wa dawa hii kuwa mkubwa.
Kwahiyo leo kwenye ukurasa huu na hakuna sehemu nyingine unaweza kuipata dawa hii kwasababu haipo hospitalini na wala kwenye maduka ya dawa. Kwenye ukurasa huu ndio sehemu pekee ya kuipata Restorlyf dozi kamili ya siku 90 kwa bei ya...
300,000/= Tu
Kuna sababu kwanini bidhaa hii inauzwa kwa bei ndogo sana hivyo.
Ni rahisi kuelewa sababu hiyo.
Lengo la shirika hili la Marekani linalotengeneza Restorlyf ni kuwasaidia wahanga wa uvimbe wa tezi dume duniani kuacha kuendelea kupoteza pesa kwenye njia ambazo hazifanyi kazi.
Endapo gharama ya Restorlyf ingekuwa juu maana yake wahanga wengi wangeshindwa kumudu bei.
Hivyo basi ndio maana wakaamua kutoa punguzo la bei kubwa ili wahanga wengi wapate suluhisho sahihi la kumaliza kiini cha tatizo na kufurahia uzee wao
Hata hivyo...
Kama utashindwa kutoa 300,000/= yote kwa pamoja usijali unaweza kuanza kidogo kidogo mpaka kumaliza dozi kamili.
Nimeweka utaratibu wa mtu kuchukua kwa awamu.
Unaweza kuchukua dozi ya siku 30 halafu unapokaribia kumaliza ukachukua ya mwezi wa pili…
Halafu ukamalizia ya mwezi wa tatu mwishoni.
Lakini kama uwezo wako unaruhusu nakushauri uchukue dozi kamili kwasababu bidhaa zilizopo ni chache na uhitaji wa Restorlyf ni mkubwa sana....kuna uwezekano mkubwa dozi tulizobaki nazo hapa kwenye stoo yetu zikaisha ndani ya wiki 3 zijazo.
Kwahiyo weka ODA yako mapema.
Bidhaa zikiisha huwa inachukuwa miezi 4 mpaka 6 dawa zingine kutoka Marekani kuja Tanzania.
Na hapo ni endapo bidhaa zipo kwenye stoo za Marekani. Kama bidhaa kwenye stoo za Marekani zinakuwa zimeisha hua inachukua miezi 10 kuzalisha zingine.
Kwahiyo unaweza ukaona ni mchakato ambao unachukua siku nyingi kiasi kwamba miezi hiyo ikipita hujatumia dawa tatizo litakuwa lishakua sugu na kukusababishia ichukue muda mrefu kuweza kupona.
Hivyo ni vyema ukachukua dozi yako sasa hivi.
Na kama utaondoka kwenye ukurasa huu pasipo kuweka ODA yako kuna uwezekano mkubwa pindi utakaporudi, ukakuta bidhaa zimeisha.
Hivyo basi usitoke kwenye ukurasa huu bila kuweka ODA yako kwasababu uhitaji wa dawa hii ni mkubwa sana... kwahiyo bidhaa tulizonazo stoo zitaisha muda wowote.
Na ukumbuke ukurasa huu ndio sehemu pekee ya kuipata dawa hii. Dawa hii haiuzwi sehemu nyingine yoyote tofauti na hapa kwenye ukurasa huu.
Kama una hofu ya dawa hii kutofanya kazi naelewa kabisa hata mimi ningekuwa kwenye nafasi uliyopo kwa sasa lazima ningekuwa na wasiwasi wa kupoteza pesa lakini ili kukuondolea wasiwasi huo bidhaa hii utaipata kwa dhamana (Guarantee)
Dhama hii iko hivi:
Tumia Restorlyf kwa muda wa siku 90. Kama baada ya siku 90 utakua bado unakojoa mara kwa mara au uvimbe utakua haujaisha au kwa sababu yoyote ile utakuwa hujaipenda Restorlyf piga simu kwenda namba 0743270011 toa taarifa utarudishiwa pesa zako zote bila kinyongo chochote.
Hata hivyo nina imani utaipenda Restorlyf na utalidhika kwa maajabu ambayo itakufanyia.
Kwanza kabisa wewe mwenyewe utashangazwa na uwezo wa dawa hii wa kuyeyusha uvimbe wa tezi dume haraka na kukupatia matokeo ya ndani ya muda mfupi.
Ukweli ni kwamba kwa kuitumia Restorlyf pesa ambazo ungeendelea kuzipoteza kwenye tiba ambazo hazifanyi kazi utazifanyia mambo yako mengine ya msingi.
UNACHOTAKIWA KUFANYA SASA HIVI NI HIKI:
Chini ya maelezo haya kuna sehemu ya kuweka ODA yako. ODA zinazopokelewa ni za watu ambao wana uhitaji wa kupokea bidhaa zao haraka kabla dawa haijaisha. Kwahiyo usiweke ODA kama unajua hutachukua haraka iwezekanavyo.
Malipo yote yanafanyika kwa njia ya M-pesa au NMB Bank.
Namba ya M-pesa ni 0743270011 jina ni REGINALD MASATO
Namba ya Account ya NMB ni 60510037475 jina ni REGINALD MASATO.
Kwa mteja wa Dar es Salaam hutakiwi kutuma hela kwasababu utaletewa mpaka popote utakapokuwa kwa gharama zangu mwenyewe halafu baada ya kupokea mzigo wako ndipo utakapofanya malipo.
Kwa mteja wa mkoani (Nje ya Dar) unalipia pesa yote ya dozi utakayokuwa umechagua kupitia moja ya account za malipo hizo hapo juu halafu unaongezea na 10,000/= kama gharama za kusafirisha mzigo kwa njia ya bus au Boat kuja mkoani ulipo ndipo unatumiwa mzigo wako.
Kwahiyo hatua ya kwanza ni kujaza fomu ya kutuma oda yako halafu baada ya hapo kama upo Dar unasubiri kuletewa siku uliyochagua na...
Kama upo mkoani baada ya kujaza fomu unafanya malipo kwanza ya gharama ya dozi na gharama ya kusafirisha halafu baada ya hapo mzigo wako unatumwa mkoani ulipo kwa njia ya bus au boat (wale wa zanzibar)
Kujaza fomu ya kuweka ODA ni rahisi.
Bonyeza hapa chini sehemu iliyoandikwa POKEA ODA YANGU. Baada ya kubonyeza sehemu hiyo utafunguka ukurasa mpya wenye fomu. Jaza fomu hiyo kikamilifu na kisha itume. Mara baada ya kupokea fomu yako msaidizi wangu au mimi mwenyewe nitakupigia simu kukujulisha kama ODA yako imepokelewa kikamilifu.
Bonyeza sehemu hii sasa hivi.
Au
Unaweza kuweka ODA yako Kwa kupiga simu moja kwa moja kwenda namba 0743270011
Ni mimi mwenye kujali afya yako,
Reginald Masato.
(Dar es Salaam)
P.S: Nakumbushia tena kwamba bidhaa ni chache na uhitaji ni mkubwa sana.
Watu wengi wanaweka ODA kwahiyo muda wowote bidhaa tulizonazo kwenye stoo yetu zitakuwa zimeisha.
Kwahiyo hakikisha hutoki kwenye ukurasa huu bila kuweka ODA yako kwasababu ukirudi badae au baada ya siku kadhaa unaweza ukakuta bidhaa zote zimechukuliwa na hivyo kujikuta unakosa suluhisho la kweli na la uhakika wa kumaliza tatizo lako mapema.
Na kumbuka bidhaa hii lazima ikusaidie kumaliza tatizo liishe kabisa.
Tatizo lisipoisha una haki ya kudai kurudishiwa pesa zako zote.
Hata hivyo utakavyoanza kutumia Restorlyf utastaajabishwa kwa matokeo ya haraka utakayoanza kuyaona na kwakua utakuwa na furaha kubwa hutakumbuka kuomba hela yako badala yake utakuwa ukiwahamasisha ndugu na jamaa zako wenye tatizo kama lako watumie Restorlyf.
Na ukumbuke kadri unavyozidi kusubiri siku hadi siku ndivyo ambavyo tatizo linazidi kuwa kubwa na sugu hivyo kufanya uwe hatarini kuanza kushindwa kukojoa kabisa.
Ukifikia hali hiyo suluhisho pekee ni kuwekewa mpira. Usiombe hali hiyo ikutokee maana muda wote utakua unanuka mkojo.
Kwahiyo kabla hali haijawa mbaya zaidi pata suluhisho la uhakika kwa kuweka oda yako hapa chini.
Kuweka ODA ni rahisi.
Bonyeza hapa chini sehemu iliyoandikwa POKEA ODA YANGU. Baada ya kubonyeza sehemu hiyo utafunguka ukurasa mpya wenye fomu.
Jaza fomu hiyo kikamilifu na kisha itume. Mara baada ya kupokea fomu yako msaidizi wangu au mimi mwenyewe nitakupigia simu kukujulisha kama ODA yako imepokelewa kikamilifu.
© 2025, Online Marketing System Pro
This site is not a part of the FacebookTM website or FacebookTM Inc. Additinally, this site is NOT endorsed by FacebookTM in any way. FACEBOOKTM is a trademark of FACEBOOKTM, inc.