Facebook & Instagram Mapene
Premium course
Easy
Premium course
Easy
Video/Text
Meta Ads
16 Lessons
0% Not started
Premium course
Premium course
Video hii inatoa picha nzima ya nini utajifunza kwenye darasa hili.
Premium course
Video hii inaonesha hatua za kufungua page ya biashara Facebook na Business manager pamoja na jinsi ya kuunganisha account yako ya Instagram na page yako ya biashara.
Premium course
Video hii inaonesha jinsi ya kuadd payment method kwenye ads manager yako
Premium course
Video hii inaonesha hatua ya 1 & 2 za kurusha Tangazo lako Fb au Insta
Premium course
Video hii inafundisha hatua ya 3 ya kurusha Tangazo lako Fb au Insta
Premium course
Video hii inahusu aina 3 za makundi ya watu mtandaoni watakao yaona matangazo yako
Premium course
Kwenye video hii utajifunza jinsi ya kutumia "Targeting Hack" kugundua "Interests" za kukupatia Faida kubwa kwa bajeti ndogo
Premium course
Video hii inahusu sheria za kukuongoza kufanya majaribio ya matangazo
Premium course
Video hii inahusu aina 3 za matangazo ambayo ukiyatumia utapata matokeo ya haraka
Premium course
Kwenye video hii utajifunza jinsi ya kudesign picha zenye mvuto kwa kutumia application ya Canva
Premium course
Video hii inaonesha hatua kwa hatua jinsi ya kujaribu makundi ya watu mtandaoni
Premium course
Video hii inaonesha hatua za kufuata ukitaka kuchat na support team kuhusu Tatizo lolote kwenye Account yako ya Facebook
Premium course
Video hii inahusu namna sahihi ya kutoa OFA kwa wateja wako
Premium course
Video hii inaonesha jinsi ya kutengeneza landing page ya whatsapp ambayo itakusaidia kuwatoa watu mtandaoni (Fb & Insa) kuja kwenye group lako la whatsapp.
Premium course
Baada ya mafunzo sasa ni wakati wako wa kutoa maoni kuhusu darasa hili.
Follow
Mr Bokko ni Godfather wa matangazo ya kulipia Facebook & Instagram Tanzania nzima na Co-Founder wa Sell Digital— Kampuni yenye kusaidia wafanyabiashara kuongeza mauzo kupitia mitandao ya kijamii.
Session expired
Please log in again. The login page will open in a new tab. After logging in you can close it and return to this page.
Tayari nimefungua account na nimesikiliza video ya utangulizi, video zinazofuata zinagoma kufunguka
nadhani itakuwa ni mtandao mbovu kwenye simu yako.
Ready to start naamini nitapata ninachotegemea Ili kukuza Biashara
Nimefungua Account tayari nafuatilia
yes boss fuata maelekezo unayopata kutoka kwenye video naamin utaanza kuuza
Tayari nimefanikisha hili nina imani niko sehemu Sahihi.
Ndio boss wangu upo sehemu sahihi
Asante sana kwa masomo mazuri mkuu .
Mungu wa mbinguni akubariki sana.
Lakini napenda kujua njia nzuri ya kitoa elimu kwenye group ni ipi
Ni kutuma voice note au kwa kuandika ujumbe pale unapokuwa unafundisha ?
Tumia njia zote boss wangu.wakati unatoa somo baadhi ya sehemu tumia voice note na sehemu nyingine tumia maelezo ya maandishi